JPM alimtumbua kisa alimshinikiza aende kwenye kikao kimojawapo huko ugaaubuni JPM akamwambia nitaenda, muda ukakaribia Mulala akamkumbusha tena JPM kuwa tunaomba hakikisho lako Mhe. Rais kama unaenda au huendi, JPM akamjibu Mlamula kuwa nitakwambis..
Mlala kama mkuu wa protocal ikabidi amshirikishe marehe Che Nkapa, ndo Nkapa akampigia JPM kumuuliza 'Hivi we unajua una kikao nje na kwa we bado Rais mpya inabidi uende lau ujitambulishe huko kwa wenye dunia yao?'
JPM akamjibu Nkapa kwa upole kuwa nitaenda mzee wangu..
Kwa hasira JPM akamgeukia Mlamla..'we umenishtaki kwa Mkapa ili iweje? sasa SIENDI we nend wewe na huyo Mkapa wako na sitaki kufanyakazi na wewe tena na nisikuone hapo Ifisini ahahaha
Nakumbuka usiku ule Mulamula akampigia mkapa yaliyojili ..Mkapa akaogopa akasema we achana naye Mwehu huyo..ahahaha