Nini kimeikumba Dar Express?

Ukiishi dodoma lazima uwe kama nduu gay.
 
Itakua Ngorika ameloga sana ili atawale Ruti ya Kaskazini
 
Siku nyingi siko kinondoni, kuna kaka take anakaaga pale nyuma ya Livingstone msukule wake waswahili wanaita hajuza kama yupo inawezekana amemkosea masharti
 
Usipoeleza vizuri tutaamini kuwa hii na habari ya kubumbwa mtaani.
 
nimeishi kinondoni livingstone kwa miaka mitattu sasa...huwa namuona mara nyingi sana huu mzee...na binti fulan hiv mdogo nikijua ni mtoto wake kumbe ni mkewe....ni mzee fulan hiv outdated sana...hata nyumba anayo ishi haiendani na utajir wake...na mwaka jana mwez wa saba nyumba yake ilitaka kuungua majiran ikabid tushirikiane kutoa vitu ndan ya nyumba..yaan nilistaajabu kiasi...jina alilonalo na namna anavoishi..anyway ametusaidia wengi kwa huduma ya usafiri na tunamshukuru sana....
 
Nakushkuru sana mkuu kwa ufafanuz wako!


 
Hyooo kilimanjaro hata ile luxuly bado ni mbovu 2 hakuna kilimanjaro iliyovizur sema wana huduma nzuri sana ndo kinachowaweka mjin
Hata ile ya Dar express ilochoka ipo vizuri kuliko hizo za wachina.

Ukiipanda unahisi upo kwenye bus. Hizo yutong zina seat kama DCM za gongo la mboto.
 
Huyu mzee anakosea,biashara imebadilika sikuiz,wateja wanataka vitu vizuri vinavyoonekana.Ukilet gari ya 700,000,000 lakini sio luxury kwa ndani lakini ni imara sana mteja anakuona punga tu.Huyu mzee ananunua magari anayoyapenda yeye na sio wanayopenda wateja.Mimi mteja gari inayodumu ya nini?kwani napanda kila siku hilo?
 
Kitu kama hukijui ni bora tu ukae kimya kuliko kueneza uongo...
 
mkuu umesahau sumri
 
Mzee ni mbishi sana huyu hataki ushauri kabisa.
Pia baada ya kufariki mke wake biashara imeyumba sana.
Mke mdogo aliyemuoa baada ya mkewe kufariki nae kamfanya mzee ni 'chuma ulete'.
Kwa ufupi dar exp. iko ICU
jamani,mkewe alifariki lini?
huyo mke mdgo n wawapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…