Elections 2010 Nini Kilimsibu?

TandaleOne

JF-Expert Member
Sep 4, 2010
1,644
709
Eid Mubarak wanaharakati na wakereketwa wenzangu na marafiki zangu.Ndugu tumsifu Yesu Kristo na bwana asifiwe kwa wengine.Sasa leo nimeamka nikatoka kutafuta gazeti ila sikuona cha maana sana magazetini.Nikaamua kuwasha computer yangu nikakuta desktop nimeweka ile picha ya Dr.Slaa akiwa hospitali alipovunjika mkono.Hivi ilikuwaje hadi akateleza bafuni na kuvunjika mkono????Kuna taarifa yoyote rasmi ya afya ya Dr.Slaa???Tuwekane wazi kama kuna mwenye habari.Magazetini hawakuweka details kabisa.

Once again Eid Mubarak na karibuni Tandale.Mwafrika,Solo,Usiyeonekana,Acid,Genekai and all the brothers.

Mungu Ibariki Tanzania
 
Katika kutathimini nini kilimsibu, wadau zingatieni kuwa kipindi hicho alikuwa bado hajapata jiko:confused2:
 
CODE 6 - BOMB THREAT TO BUILDING providing as much details of threat as is available in particular the following:-

- Location of the bomb (which building id involved)
- Description of the bomb (appearance)
- Type of bomb (Type of explosive)
- Anticipated time of detonation
- Reason for placing bomb
- Organization responsible
- Any other information which might be offered

3. Provide necessary air and ground traffic control support for emergency response activities.
4. Restrict use of two-way radios within 100 metres of any place suspected of bomb or explosive.
 
Watu kibao huwa wanaanguka bafuni. Wala sioni cha kushangaza hapa. Lakini ni nadra sana kwa mtu kuanguka ghafla mbele ya halaiki kama hana kifafa. Kwa kuwa mabafu yanayotuamisha maji huwa siku zote yana utelezi, tunaamini kwamba aliteleza, hata mimi nimewahi kuteleza bafuni hiyo si ajabu. Lakini mtu yupo jukwaani, anahutubia na ghafla anaporomoka kama mawe yaliyosukumiwa bondeni, huyo kilimsibu nini?
 
CODE 6 - BOMB THREAT TO BUILDING providing as much details of threat as is available in particular the following:-

- Location of the bomb (which building id involved)
- Description of the bomb (appearance)
- Type of bomb (Type of explosive)
- Anticipated time of detonation
- Reason for placing bomb
- Organization responsible
- Any other information which might be offered

3. Provide necessary air and ground traffic control support for emergency response activities.
4. Restrict use of two-way radios within 100 metres of any place suspected of bomb or explosive.

Mwaka wako huu.
 
Watu kibao huwa wanaanguka bafuni. Wala sioni cha kushangaza hapa. Lakini ni nadra sana kwa mtu kuanguka ghafla mbele ya halaiki kama hana kifafa. Kwa kuwa mabafu yanayotuamisha maji huwa siku zote yana utelezi, tunaamini kwamba aliteleza, hata mimi nimewahi kuteleza bafuni hiyo si ajabu. Lakini mtu yupo jukwaani, anahutubia na ghafla anaporomoka kama mawe yaliyosukumiwa bondeni, huyo kilimsibu nini?

na kwenye umati wa watu huwa wanaanguka wangapi?
 
na kwenye umati wa watu huwa wanaanguka wangapi?

WATCHROOM ATTENDANT

1. Obtain all possible details from the caller specifically:

- The exact location of the fire (what building, airside/landside, etc.)
- The type of fire (what is burning - electrical, fuel, chemicals, etc.)
- Persons injured (if any)
- The name of the caller, and who he works for
- The number of the phone where he is calling from

Notify RFFS Commander (or Duty Fire Officer) of the location and nature of the fire
 
WATCHROOM ATTENDANT

1. Obtain all possible details from the caller specifically:

- The exact location of the fire (what building, airside/landside, etc.)
- The type of fire (what is burning - electrical, fuel, chemicals, etc.)
- Persons injured (if any)
- The name of the caller, and who he works for
- The number of the phone where he is calling from

Notify RFFS Commander (or Duty Fire Officer) of the location and nature of the fire

Umepona???Eid Mubarak
 
.......... Dr.Slaa akiwa hospitali alipovunjika mkono.Hivi ilikuwaje hadi akateleza bafuni na kuvunjika mkono????Kuna taarifa yoyote rasmi ya afya ya Dr.Slaa??? Tuwekane wazi kama kuna mwenye habari. Magazetini hawakuweka details kabisa.

Tandale One, nakushauri uachane na tungo za maji taka, kumbuka kuwa hata Waziri Mkuu wa Israel Menachem Begin, aliwahi kuanguka bafuni akaumia vibaya hadi akawa anatembelea mkongojo. Ebu rejea taarifa hii hapa chini uelemike kuhusu ajali za bafuni:

There are many ways to prevent Bathroom Accidents. Statistics show that the bathroom is the most dangerous room in the house. 70% of home injuries occur in the bathroom. The majority of these accidents is slip and fall accidents. Because bathtubs, showers and floors usually have smooth surfaces and get wet, accidents can happen easily. It just takes seconds to slip and fall. This is not a problem to be ignored. Prevent Bathroom Accidents

Anything can happen in the bathroom. People can slip and fall on wet surfaces be scalded by hot water, get electrocuted from appliances, drown in the tub or accidentally poison themselves with chemicals. There are nearly 200,000 bathroom accidents per year in the USA, that's 70 percent of all home accidents, according to research from home care products company Aurora in North Ridgeville, Ohio. Bathroom safety becomes priority | Home Channel News | Find Articles at BNET
 
Tanfale One, nakushauri uachane na tungo za maji taka, kumbuka kuwa hata Waziri Mkuu wa Israel Menachem Begin, aliwahi kuanguka bafuni akaumia vibaya hadi akawa anatembelea mkongojo. Ebu rejea taarifa hii hapa chini uelemike kuhusu ajali za bafuni:

There are many ways to prevent Bathroom Accidents. Statistics show that the bathroom is the most dangerous room in the house. 70% of home injuries occur in the bathroom. The majority of these accidents is slip and fall accidents. Because bathtubs, showers and floors usually have smooth surfaces and get wet, accidents can happen easily. It just takes seconds to slip and fall. This is not a problem to be ignored. Prevent Bathroom Accidents

Anything can happen in the bathroom. People can slip and fall on wet surfaces be scalded by hot water, get electrocuted from appliances, drown in the tub or accidentally poison themselves with chemicals. There are nearly 200,000 bathroom accidents per year in the USA, that's 70 percent of all home accidents, according to research from home care products company Aurora in North Ridgeville, Ohio. Bathroom safety becomes priority | Home Channel News | Find Articles at BNET
Bora bi mkubwa umeingilia kati.
Kama hajakuelewa hapo basi tena.
 
Tandale One, nakushauri uachane na tungo za maji taka, kumbuka kuwa hata Waziri Mkuu wa Israel Menachem Begin, aliwahi kuanguka bafuni akaumia vibaya hadi akawa anatembelea mkongojo. Ebu rejea taarifa hii hapa chini uelemike kuhusu ajali za bafuni:

There are many ways to prevent Bathroom Accidents. Statistics show that the bathroom is the most dangerous room in the house. 70% of home injuries occur in the bathroom. The majority of these accidents is slip and fall accidents. Because bathtubs, showers and floors usually have smooth surfaces and get wet, accidents can happen easily. It just takes seconds to slip and fall. This is not a problem to be ignored. Prevent Bathroom Accidents

Anything can happen in the bathroom. People can slip and fall on wet surfaces be scalded by hot water, get electrocuted from appliances, drown in the tub or accidentally poison themselves with chemicals. There are nearly 200,000 bathroom accidents per year in the USA, that's 70 percent of all home accidents, according to research from home care products company Aurora in North Ridgeville, Ohio. Bathroom safety becomes priority | Home Channel News | Find Articles at BNET

Unaimba mipasho siku hizi?
 
Unaimba mipasho siku hizi?

Mbona sina sauti tamu ya kuweza kuimba mipasho!!!! Siimbi ila naelimisha tu ndugu yangu. Kama umeelimika na hiyo taarifa niliyotoa, basi nashukuru, na Mwenyezi Mungu akujalie busara na hekima.
 
Mbona sina sauti tamu ya kuweza kuimba mipasho!!!! Siimbi ila naelimisha tu ndugu yangu. Kama umeelimika na hiyo taarifa niliyotoa, basi nashukuru, na Mwenyezi Mungu akujalie busara na hekima.

wera wera,kua mwanangu kua.
 
Kwanza ilikuwa hivi:



Hivi kabla haja.......... alikuwa akisema nini? Tutafanya zaidi tuta mambo mambooo......

Mtu hadi unaanguka bado unatoa ahadi za uongo? Tena ukiwa umefunga, OMG!!!!



Kama ilivyo Newton's law of Motion, action hiyo ikaleta Reaction hii hapa chini:

5yhkip.jpg
 
Last edited by a moderator:
Eid Mubarak wanaharakati na wakereketwa wenzangu na marafiki zangu.Ndugu tumsifu Yesu Kristo na bwana asifiwe kwa wengine.Sasa leo nimeamka nikatoka kutafuta gazeti ila sikuona cha maana sana magazetini.Nikaamua kuwasha computer yangu nikakuta desktop nimeweka ile picha ya Dr.Slaa akiwa hospitali alipovunjika mkono.Hivi ilikuwaje hadi akateleza bafuni na kuvunjika mkono????Kuna taarifa yoyote rasmi ya afya ya Dr.Slaa???Tuwekane wazi kama kuna mwenye habari.Magazetini hawakuweka details kabisa.

Once again Eid Mubarak na karibuni Tandale.Mwafrika,Solo,Usiyeonekana,Acid,Genekai and all the brothers.

Mungu Ibariki Tanzania
Kilichomsibu ni hiki

[/SIZE][/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom