Best home tutor
Senior Member
- May 8, 2026
- 194
- 264
Salam zikufikie popote ulipo .
Baada ya kumkumbuka Balozi Humpley polepole usingizi umekata ghafla,Kirjana huyu alikua ni mzalendo ,mpenda nchi yake na mtu mwenye kusema ukweli kwa lengo la kuisaidia nchi yake .
Aliteuliwa kuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi badae Cuba wakati yuko Cuba akatangaza kujiuzuru ubalozi kwa sababu aliona nchi yake inabagazwa,kubanangwa ,kutindinganywa bila huruma hata kidogo.
Badae akaanza kutoa mtazamo wake juu ya Tanzania ,akaeza nchi inavyoendeshwa kama haina mwenywe yaani familia ya Kambale kila mtu ndevu ,akaeleza mambo mengi sana ambayo kila mmoja kwakweli aliyemsikiliza alistaajabu sana kwa maana kiongozi wa juu kama yule kutoka hadharani na kusema mambo yale ilikua Inashutua kidogo.
Badae kidogo Balozi ikasemekana ametekwa nyumbani kwake hapa Tanzania ,ikaonekana michirizi ya damu ,Jeshi la Polisi likasema linaendelea na uchunguzi hadi leo jariida lake nahisi linaendelea kuchunguzwa.
Masawali!
Kwanini balozi aliamua kuacha kazi ya ubalozi yenye malipo mazuri tu akaamua kuipambania Tanzania ?
Balozi alikosa njia sahihi yeye kama kiongozi wa juu za kufikisha ujumbe au alipuuzwa?
Kwa yale aliyokua akiyasema ikiwemo tuhuma za kifo cha Magufuli ,Wizi uliokithiri,Uongozi mbaya ,Wanamtandao kuongoza nchi nk hakuona usalama wake utaua hatarini akiyasema akiwa Tanzania?
Je yupo wapi ? Yuko salama mpaka leo siku zote ?
Hayo ni baadhi ya maswali ambayo hadi leo najiuliza bila majibu.
Baada ya kumkumbuka Balozi Humpley polepole usingizi umekata ghafla,Kirjana huyu alikua ni mzalendo ,mpenda nchi yake na mtu mwenye kusema ukweli kwa lengo la kuisaidia nchi yake .
Aliteuliwa kuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi badae Cuba wakati yuko Cuba akatangaza kujiuzuru ubalozi kwa sababu aliona nchi yake inabagazwa,kubanangwa ,kutindinganywa bila huruma hata kidogo.
Badae akaanza kutoa mtazamo wake juu ya Tanzania ,akaeza nchi inavyoendeshwa kama haina mwenywe yaani familia ya Kambale kila mtu ndevu ,akaeleza mambo mengi sana ambayo kila mmoja kwakweli aliyemsikiliza alistaajabu sana kwa maana kiongozi wa juu kama yule kutoka hadharani na kusema mambo yale ilikua Inashutua kidogo.
Badae kidogo Balozi ikasemekana ametekwa nyumbani kwake hapa Tanzania ,ikaonekana michirizi ya damu ,Jeshi la Polisi likasema linaendelea na uchunguzi hadi leo jariida lake nahisi linaendelea kuchunguzwa.
Masawali!
Kwanini balozi aliamua kuacha kazi ya ubalozi yenye malipo mazuri tu akaamua kuipambania Tanzania ?
Balozi alikosa njia sahihi yeye kama kiongozi wa juu za kufikisha ujumbe au alipuuzwa?
Kwa yale aliyokua akiyasema ikiwemo tuhuma za kifo cha Magufuli ,Wizi uliokithiri,Uongozi mbaya ,Wanamtandao kuongoza nchi nk hakuona usalama wake utaua hatarini akiyasema akiwa Tanzania?
Je yupo wapi ? Yuko salama mpaka leo siku zote ?
Hayo ni baadhi ya maswali ambayo hadi leo najiuliza bila majibu.