Habari wana JF
Nimewaza sana nikagundua CCM kuwepo madarakani ni tatizo kubwa kuliko hata hii katika tunayo hitaji. Hivi kwa hii CCM tunaweza pata Tume huru ya Uchaguzi?
Sasa tunayo katiba lakini tumeshuhudia mara kadhaa ikivunjwa na Kwa mizizi kiliyo nayo hiki Chama mnadhani ni rahisi Katiba ikafuatwa?
Mi nadhani CCM ni Tatizo katika hii Nchi zaidi ya Katiba.
Elimu, Elimu na Uzalendo ndio nguzo pekee za kuikomboa hii Nchi kutoka Mikononi mwa hiki.
Elimu inahitajika sana, watu wengi wanaishi maisha magumu ila hawajui ni kwa namna gani Serikali inaweza saidia maisha yao kuwa bora hivyo hawaoni haja ya Mabadiliko.
Uzalendo ni kitu kikubwa sana watu wengi hawana uzalendo wako radhi washinde mitandaoni au majukwaani kusifia serikali hata ambapo haistahili. Hakuna kitu kibaya kama machawa.
Kama tukikataa CCM kwa umoja wetu, akili zetu na nguvu zetu hakika itatoka Madarakani na Katiba Mpya itafuatu.
Haihitaji Kuingia barabarani na kuhatarisha Amani ili kuitoa ila kama kila mtanzania kwa akili na uzalendo wake atamua kuitoa itatoka.
CCM husafirisha watu kuja mikutanoni na mambo mengine ili ku-justify kitacho kwenda kutokea. Watu wakiwa na elimu hawawezi kutumika kama sehemu ya mchezo, watujua ni mkusanyiko upi wa kwenda na kutokwenda.
Nimewaza sana nikagundua CCM kuwepo madarakani ni tatizo kubwa kuliko hata hii katika tunayo hitaji. Hivi kwa hii CCM tunaweza pata Tume huru ya Uchaguzi?
Sasa tunayo katiba lakini tumeshuhudia mara kadhaa ikivunjwa na Kwa mizizi kiliyo nayo hiki Chama mnadhani ni rahisi Katiba ikafuatwa?
Mi nadhani CCM ni Tatizo katika hii Nchi zaidi ya Katiba.
Elimu, Elimu na Uzalendo ndio nguzo pekee za kuikomboa hii Nchi kutoka Mikononi mwa hiki.
Elimu inahitajika sana, watu wengi wanaishi maisha magumu ila hawajui ni kwa namna gani Serikali inaweza saidia maisha yao kuwa bora hivyo hawaoni haja ya Mabadiliko.
Uzalendo ni kitu kikubwa sana watu wengi hawana uzalendo wako radhi washinde mitandaoni au majukwaani kusifia serikali hata ambapo haistahili. Hakuna kitu kibaya kama machawa.
Kama tukikataa CCM kwa umoja wetu, akili zetu na nguvu zetu hakika itatoka Madarakani na Katiba Mpya itafuatu.
Haihitaji Kuingia barabarani na kuhatarisha Amani ili kuitoa ila kama kila mtanzania kwa akili na uzalendo wake atamua kuitoa itatoka.
CCM husafirisha watu kuja mikutanoni na mambo mengine ili ku-justify kitacho kwenda kutokea. Watu wakiwa na elimu hawawezi kutumika kama sehemu ya mchezo, watujua ni mkusanyiko upi wa kwenda na kutokwenda.