Wakat nasoma chuo kikuu kimojawapo hapa nchini niligundua kuwa wengi wa wahitimu hupata GPA kali (za madesa) bila kuwa na utalaam wa kiwango husika kivitendo kama ambavyo wengi wao wamekuwa "waki-underperform" pindi wanapopewa nafasi kama wataalam
Kitendo hiki hunifanya mimi niwaze mambo mengi sana kuhusu mfumo wetu wa elimu
Kufuatia mfumo huu, mimi binafsi huwa najiuliza hivi hatuwezi kubadilisha huu mfumo na kuufanya kivitendo zaidi?
Kwa mfano, inasikitisha msomi wa chuo kikuu tena anaesomea IT anashindwa kudesign hata program moja tu ya kompyuta
Hii inamanisha kuwa tuna wasomi wengi lakin hatuna wataalam kama tunavyofikiria na kwa maana hiyo nchini yetu itaendelea kujivuta katika suala zima la maendeleo kwa kukosa wataalam
Je, nini kifanyike ili kuondoa tatizo hili?
Naomba kuwasilisha
Kitendo hiki hunifanya mimi niwaze mambo mengi sana kuhusu mfumo wetu wa elimu
Kufuatia mfumo huu, mimi binafsi huwa najiuliza hivi hatuwezi kubadilisha huu mfumo na kuufanya kivitendo zaidi?
Kwa mfano, inasikitisha msomi wa chuo kikuu tena anaesomea IT anashindwa kudesign hata program moja tu ya kompyuta
Hii inamanisha kuwa tuna wasomi wengi lakin hatuna wataalam kama tunavyofikiria na kwa maana hiyo nchini yetu itaendelea kujivuta katika suala zima la maendeleo kwa kukosa wataalam
Je, nini kifanyike ili kuondoa tatizo hili?
Naomba kuwasilisha