Nini kifanyike kuinusuru bei ya Kahawa mkoani Kagera?

Faida ziko nyingi lakini sio KCU
kati ya kuruhusu wafanyabiashara binafsi kununua mazao na kuweka vyama vya ushirika which is better


mm nnako tokea tunalima sana viazi mbna hatutumii vyama vya ushirika na kila kitu kipo fresh
 
kati ya kuruhusu wafanyabiashara binafsi kununua mazao na kuweka vyama vya ushirika which is better
mm nnako tokea tunalima sana viazi mbna hatutumii vyama vya ushirika na kila kitu kipo fresh
Mkuu ukweli unabaki pale pale kuwa UMOJA NI NGUVU - UTENGANO NI UDHAIFU ... Umoja unasaidia kwenye mambo mengi lakini watanzania wanautumia umoja huo kujinufaisha peke yao .. hapo ndo kunakuwa ni tatizo.
 
Mkuu ukweli unabaki pale pale kuwa UMOJA NI NGUVU - UTENGANO NI UDHAIFU ... Umoja unasaidia kwenye mambo mengi lakini watanzania wanautumia umoja huo kujinufaisha peke yao .. hapo ndo kunakuwa ni tatizo.
mkuu vyama vya ushirika vingesaidia kaz nyingine ila hii ya kununua mazao ingeachwa kwa watu wengine
 
mkuu vyama vya ushirika vingesaidia kaz nyingine ila hii ya kununua mazao ingeachwa kwa watu wengine
Wakati vinaanzishwa vilikuwa na malengo mazuri sana ... mfano:-
1. Kutafuta masoko
2. Kusomesha wataalamu wa zao husika
3. Kuwaunganisha wakulima wa zao husika ili kuwa na sauti moja n.k
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom