Nini kifanyike ili kuiokoa CHADEMA?

Nini kifanyike ili kuiokoa CHADEMA?

Salaam Wakuu!!
Kuna maneno wengi yanaongelewa kwamba ACT ilianzishwa ili kuua upinzani ,na kwamba Membe ametumwa na CCM ili kugawanya kira za wapinzani kupitia ACT.

Inawekana kabisa tuhuma hizi zikawa na ukweli ndani yakr,lskini tunkumbuke ya kwamba CCM inatafuta mtu wa kumfia na kuna uwezekano mkubwa ikamfia Magufuli, Kikwete ilinusurika kidogo tu.

ACT ina balance power bara na visiwani yaani inajengeka kwa muonekano wa kitaifa zaidi ni hybrid ya CUF,CHADEMA na CCM. Sass kama CCM muliitengeza ACT ili kuidhofisha CHADEMA basi inaweza kuja kuimeza CCM baada ya hapo ACT na CHADEMA ndiyo watakuwa Democratic and Republican wa Tanzania.

CHADEMA chezeni hii game kwa akili,asimamishwe Membe kupitia ACT kisha achianeni ubunge na udiwani. Ili joka la Kishetani(CCM) tunaliua kidogo kidogo kwa kutumia akili nyingi. Vinginevyo hicho kinachodhsniwa kitatokea kweli,kura zitagawanywa na joka la kijani litaendelea kuwa.

Huu ni mwaka kitia pilipili kwenye kidonda cha Joka la Kijani cha 2015. CCM haiwezi kutawala milele idondoke,na itamfia Magufuli maana ana kibri na hashauriki anajiona ana akili nyingi kuliko CCM wote.
Hizi propaganda za kitoto ziishie hukohuko.... Jengeni chama acheni maneno vijana
 
Sioni shida kudharauliwa na mpumbavu, huo uwekezaji wa bandari ya bagamoyo na mikataba ya kipumbavu nchi ilioingia ya kimataifa ulikuwa chini ya Nani? We na upunguani wako hujui ufisadi ulivyokuwa ukifanywa kwenye balozi zetu, nazo zilikuwa chini ya Nani!? Kupishana kwa viongozi waandamizi angani kwenda nje unafikiri aliyekuwa anashughurika navyo ni nani!
Tusichoshane, sijawahi kuhitaji heshima Toka kwa wapumbafu, na Wala sitaanza leo! Mende wako huyo hakuleta impact chants yoyote nchini kipindi Cha uwaziri wake! Hebu cheki wizara mbalimbali Magu alizohamishiwa uone Kama ipo moja ambayo alifanya vibaya? Unafikiri hiyo ilitokeatokea tuuuu! Magu Hana agenda ya usanii na wiziwizi! Ndio maana Sasa yanafanyika tusiyokuwa tunatazamia yangefanyika ...of course kwa wapuuzi Kama ww hamuiwezi kuona maana kwenu mnaona kinachoingia matumboni mwenu tu kwa kuwaibia watz...na kwa Sasa mtasubiri Sana Kama fisi anayetarajia mkono wa binadamu udondoke!
Trillion 1.5 aliyoiba nayo niufisadi wa Membe?.
 
Trillion 1.5 aliyoiba nayo niufisadi wa Membe?.
Hakuiba, ilinunua ndege! Hebu acha kujitaabisha kufananisha Kilimanjaro na kichuguu mende! Hivi uchoki? Unajua mpaka nakuonea huruma! Membe hauziki!
 
Vyombo vya dola ndo vilikua vinawalazimisha wananchi waipende CCM? Utekelezaji mzuri wa Ilani ya CCM ndo umeifanya CCM iimarike. Mathalani, ujenzi reli ya SGR, Flyovers, Vituo vya Afya na Zahanati, Elimumsingi bila Ada, kupeleka umeme kila kijiji, kudhibiti vitendo vya rushwa na ufisadi n.k. haya yote ndo yamerudisha imani ya wananchi kwa CCM.

Dalili ya chama cha siasa kinachojifia ni pamoja na kukimbiwa na idadi kubwa ya viongozi na wanachama wake, kupoteza imani kwa wananchi na kukosa ajenda na itikadi inayoisimamia. Kuna Vyama tayari vina sifa hizi, sasa nashangaa mnavyosema CCM inakufa sijui mnatumia vigezo vipi? Au mnafanya utani?
Wanaondoka makumi ya wapigiwa kura sisi tunavuna maelfu ya wapiga kura. CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala. Kwa nini polisi watake majina ya watia nia wa Chadema tu nchi nzima. CCM itapata pigo kuuuuubwa sana pigo moja tu pigo takatifu pigo lililonyooka kabla ya uchaguzi mkuu ujao.
 
Hakuiba, ilinunua ndege! Hebu acha kujitaabisha kufananisha Kilimanjaro na kichuguu mende! Hivi uchoki? Unajua mpaka nakuonea huruma! Membe hauziki!
Alinunua ndege kwa idhini ya nani?. Au hii nchi nifamilia yeke ananunua vitu kadri anavyotaka nje ya bajeti iliyopiyishwa na bunge?. Je uwanja wa chato bajeti yake iko kwenye vitabu vipi vya bajeti ngoja twende nae site ,akawaeleze issue za ndege walalahoi wa gangilonga.
 
Alinunua ndege kwa idhini ya nani?. Au hii nchi nifamilia yeke ananunua vitu kadri anavyotaka nje ya bajeti iliyopiyishwa na bunge?. Je uwanja wa chato bajeti yake iko kwenye vitabu vipi vya bajeti ngoja twende nae site ,akawaeleze issue za ndege walalahoi wa gangilonga.
Maadamu hakuichukua kuipeleka Swiss account, badala yake imefanya kazi ya umma katiba yetu inamruhusu rais wetu kutawala kifalme, au hata hili hulijui!? Nikushauri whoever you are, acha wivu na chuki za kipuuzi, Kuna mengi Sana mema yangefanyika chini ya jemedari Magu kuliko mabaya kiduchu Sana ya kibinadamu! Jiunge na Nuru Toka huko gizani, hakuko sawa huko!
 
Back
Top Bottom