Kinjeketile
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 985
- 1,656
Salaam Wakuu
Kuna maneno wengi yanaongelewa kwamba ACT ilianzishwa ili kuua upinzani ,na kwamba Membe ametumwa na CCM ili kugawanya kira za wapinzani kupitia ACT.
Inawekana kabisa tuhuma hizi zikawa na ukweli ndani yakr,lskini tunkumbuke ya kwamba CCM inatafuta mtu wa kumfia na kuna uwezekano mkubwa ikamfia Magufuli, Kikwete ilinusurika kidogo tu.
ACT ina balance power bara na visiwani yaani inajengeka kwa muonekano wa kitaifa zaidi ni hybrid ya CUF,CHADEMA na CCM. Sass kama CCM muliitengeza ACT ili kuidhofisha CHADEMA basi inaweza kuja kuimeza CCM baada ya hapo ACT na CHADEMA ndiyo watakuwa Democratic and Republican wa Tanzania
CHADEMA chezeni hii game kwa akili,asimamishwe Membe kupitia ACT kisha achianeni ubunge na udiwani. Ili joka la Kishetani(CCM) tunaliua kidogo kidogo kwa kutumia akili nyingi. Vinginevyo hicho kinachodhsniwa kitatokea kweli,kura zitagawanywa na joka la kijani litaendelea kuwa
Huu ni mwaka kitia pilipili kwenye kidonda cha Joka la Kijani cha 2015. CCM haiwezi kutawala milele idondoke,na itamfia Magufuli maana ana kibri na hashauriki anajiona ana akili nyingi kuliko CCM wote
Kuna maneno wengi yanaongelewa kwamba ACT ilianzishwa ili kuua upinzani ,na kwamba Membe ametumwa na CCM ili kugawanya kira za wapinzani kupitia ACT.
Inawekana kabisa tuhuma hizi zikawa na ukweli ndani yakr,lskini tunkumbuke ya kwamba CCM inatafuta mtu wa kumfia na kuna uwezekano mkubwa ikamfia Magufuli, Kikwete ilinusurika kidogo tu.
ACT ina balance power bara na visiwani yaani inajengeka kwa muonekano wa kitaifa zaidi ni hybrid ya CUF,CHADEMA na CCM. Sass kama CCM muliitengeza ACT ili kuidhofisha CHADEMA basi inaweza kuja kuimeza CCM baada ya hapo ACT na CHADEMA ndiyo watakuwa Democratic and Republican wa Tanzania
CHADEMA chezeni hii game kwa akili,asimamishwe Membe kupitia ACT kisha achianeni ubunge na udiwani. Ili joka la Kishetani(CCM) tunaliua kidogo kidogo kwa kutumia akili nyingi. Vinginevyo hicho kinachodhsniwa kitatokea kweli,kura zitagawanywa na joka la kijani litaendelea kuwa
Huu ni mwaka kitia pilipili kwenye kidonda cha Joka la Kijani cha 2015. CCM haiwezi kutawala milele idondoke,na itamfia Magufuli maana ana kibri na hashauriki anajiona ana akili nyingi kuliko CCM wote