Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Hivi mpaka sasa wapinzani hawajatoa hotuba yao kujibu/kufafanua ile ya mh JK? Maana at least ina upotoshaji flani. Kuhusu kuchagua hadhira yake cjui kwa nini isiwe wasomi wa vyuo na badala yake akachagua "wazee" wa ccm ambao anawaita wa DSM.
kukanusha peke yake haitoshi...wakanushe watoe na ratiba ya maandamano