Nini hutoa baada ya mtu kuzikwa

Haya wale mnaoogopa kuishi maisha yenu kwa kuogopa kusemwa na kuchekwa, subirini siku mkifa mkiwa mnaoza kaburini labda hao mnaowaogopa watawasaidia.

Hata ujifanye we ni mwema sana, utakufa tu na utaoza kama mbwa.

Wacha nile raha mie, kwa sababu siku ntakayokuwa nakufa hakuna atakayekuwepo.
 
Kwa hiyo ulifukua mwili wa marehemu wako ukanusa sehemu zake za siri na kuona zinanuka sana?! Alikuwa ni nani huyo maiti uliejithibitishia mwanabodi na kutuletea hii sledi pendwa!

Mnatishana kijingakijinga, no wonder mitume feki wanajipigia tu wakati ni wahuni wa mjini washajua mnaogopa sana kifo!!!
 
Agiza tatu kubwa za baridi...ita muhudumu kisha lipa bwa bichwa umeongea jambo la fertilizer kabisa heko!
 
Hakuna namna, kifo kipo tu.
Wamekufa wababe kama Abu Jahal, Kaiser, Joseph Stalin, Adolf Hitler, Benito Mussolini nk,
Na pia Watakatifu na MaNabii

Sisi ni nani?
Tujiandae ingawa hakipendezi.
 
Polee nilifiwa na ndugu yangu ambaye nilimpenda sana kuliko mtu yeyote hapa Duniani
Nilijitahidi sana nisiwaze kabisa hayo mambo zaidi nikawa najikumbusha tu moments nzuri niloshare nae only that
Pole sana, kila mmoja anapitia mambo kama hayo
 
Kwahiyo!??
 
Na ni mwisho wa
1. Wema wako kwa watu
2. Furaha zako
3. Uzuri wako
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…