Nini hatma ya Dreamliners?

Kuna ndenge zinategenezwa na urusi m23 ni zaidi ya boing

sent from toyota Allex

Kuna suala la vipuri vya dreamliner n.k, ikiwa vikwazo vikaongezwa maradufu si ajabu ndege za Air Tanzania zikapaki ktk hangar bila vipuri na kukosa cheti cha kimataifa kuwa ni salama kuruka kutumia anga za nje ya Tanzania.

Serikali ya CCM Mpya iwe wapole ijitafakari na kujizuia ili mambo yasije kuwa makubwa zaidi ya zuio la Makonda na karipio la kuruhusu demokrasia ya vyama vingi sambamba na haki za msingi za binadamu.
 

Good point!
 
Tunanunua Antonov, Mig au Russian jets, au Embrerer pale Brazil wasitutishe hawa mabeberu..
 
Kasoro mimi na wewe mkuu.

Mimbuzi jike ni ile inayokesha kumsifia DAB
 
Hahaha wamarekani huwa hawakatai pesa, Dreamliner's ni biashara kwao hata kesho Tanzania ikionyesha nia kutaka kununua nyingine Visa wanapewa.
 
Wawazuwie wasanii wote wa WCB kui gia huko pia, kwa sababu anafaidika financially kutoka kwao!

Inatakiwa awe kama mkoma, kila mtu amkimbie.
100% uko sawa kabisaaa mkuu,nadhani wakifanya hivyo somo watalielewa vzr sana.

dodge
 
Mungu ampe Magufuli busara ya mfalme Suleiman, amtimue Makonda afanye safari yake ya kwanza nje ya bara la Afrika aende akaombe msamaha bila hivyo kila mradi wake utabaki mashakani.
MAGUFURI HAWEZI MTIMUA BASHITE HATA IWEJE! BASHITE NDIO RAIS WA TANZANIA
 
True... Haya mambo yanakuzwa kuliko uhalisia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…