Nini Hatma Ya CCM Ikishindwa 25 Oktoba?

Nini Hatma Ya CCM Ikishindwa 25 Oktoba?

Kama kura zingepigwa mtandaoni FB W'app, JF nk rais wao wa website angeshinda!.. ila kwa swala la URT mh.John PM ndo atashinda hakika CDM haiwezi kupata kura za kutosha zanzibar,na huku bara tayari watu wanajua hila za CDM mkijitahidi mtapata wabunge wengi maana siku zinavyoenda watu wa ajabu ajabu ndo wanaongezeka mijini hawana ramani kazi kulaumu CCM wakati hapo walipo hawana maarifa yoyote ya kujikomboa kifikra,kinidhamu nk.Kuna watu wanawehuka kila kukicha...serikali yoyote duniani haiwezi kukufanyia kila kitu!
 
Ebo! ndo wale wale mapimbi yanaamini takwimu za uongo zinaongeza kura, watanzania wa leo si watanzania wa mwaka 95 au 20, mbinu hizo zilitumika mda huo kwaxaxa zime expire.

WaTanzania Wa Leo Ni Wajanja Zaidi Ndio Maana Hawatakuwa na Mpango na Lowassa.
MAGUFULI Atashinda Kwa 80.24% na Kumzidi Kikwete kwa 0.01%

Hawa Ndio Wapigakura Wa Lowassa:

Lowassa-Watoto2.jpg

attachment.php
 
Kama kura zingepigwa mtandaoni FB W'app, JF nk rais wao wa website angeshinda!.. ila kwa swala la URT mh.John PM ndo atashinda hakika CDM haiwezi kupata kura za kutosha zanzibar,na huku bara tayari watu wanajua hila za CDM mkijitahidi mtapata wabunge wengi maana siku zinavyoenda watu wa ajabu ajabu ndo wanaongezeka mijini hawana ramani kazi kulaumu CCM wakati hapo walipo hawana maarifa yoyote ya kujikomboa kifikra,kinidhamu nk.Kuna watu wanawehuka kila kukicha...serikali yoyote duniani haiwezi kukufanyia kila kitu!

Kwa Tanzania it's too much, haiwezekani miaka 38 mkawa mmeishia kujenga barabara tu, eti mmekazana kabisa mnajivunia barabara miaka 38 madarakani? any way basi barabara zenyewe ziwe katika ubora unaofaa yote nothing. what kind of goverment we have?
 
Napenda nikuunge mkono, hivi sasa Tanzania kuna mihemko ya ajabu sana watu hatutafakari wala hatuangalii historia ya wagombea walikotoka na dhamira zao za kuutaka Urais kwa udi na uvumba kiasi wanatutia shaka na maisha yetu yatakavyokuwa baada ya wao kushika madaraka. Mabadiriko yanayotakiwa na watu hivi sasa ni kuitoa madarakani CCM baada ya hapo ni nini kinafuata?
 
Napenda nikuunge mkono, hivi sasa Tanzania kuna mihemko ya ajabu sana watu hatutafakari wala hatuangalii historia ya wagombea walikotoka na dhamira zao za kuutaka Urais kwa udi na uvumba kiasi wanatutia shaka na maisha yetu yatakavyokuwa baada ya wao kushika madaraka. Mabadiriko yanayotakiwa na watu hivi sasa ni kuitoa madarakani CCM baada ya hapo ni nini kinafuata?

kwa sasa hatuna tena huruma na ccm, kama wao walivyokuwa hawana huruma kwa miaka 38.
 
Ukitokea hivyo ccm itakuwa imefutika kabisa. Naamini kutatokea kulaumiana kwa hili na lile.

Wachawi waliosababisha kushindwa watatufutwa kwa tochi hadi watapatikana, nao watakuwa wengi sana , lakini hawatakubali.

Wataendelea kususa na kujitoa mmoja baada ya mwingine + zomea zomea nayo itashika kasi hadi chama kitakuwa hoi, ndembendembe kabisa, chaliiiiii !
 
Ukitokea hivyo ccm itakuwa imefutika kabisa. Naamini kutatokea kulaumiana kwa hili na lile.

Wachawi waliosababisha kushindwa watatufutwa kwa tochi hadi watapatikana, nao watakuwa wengi sana , lakini hawatakubali.

Wataendelea kususa na kujitoa mmoja baada ya mwingine + zomea zomea nayo itashika kasi hadi chama kitakuwa hoi, ndembendembe kabisa, chaliiiiii !

na iwe hivyo.
 
Itakuwa tu ishara ilshaonekana mapema, hujasikia wakia wakiahidiana kushughurikiana baada ya uchaguzi, unategemea nini kitatokea.
 
sijaielewa comment yako.

Coment yangu ni kuhusu hatima ya ccm ikishindwa, kwamba tutalajie mfarakano.

Kwamba dalili zipo sababu kupitia majukwaa ya kampeni,wameshaanza kushutumiana kusalitiana. Hili kalisema wazi mchana kweupe mgombea wao wa uraisi.

Kwamba baada ya uchaguzi wataanza kushughurika na walionekana kusaliti chama. Sasa kama chama kitakuwa kimeshindwa, unategemea nini kitatokea. Ni mtawanyiko mbele kwa mbele.
 
Coment yangu ni kuhusu hatima ya ccm ikishindwa, kwamba tutalajie mfarakano.

Kwamba dalili zipo sababu kupitia majukwaa ya kampeni,wameshaanza kushutumiana kusalitiana. Hili kalisema wazi mchana kweupe mgombea wao wa uraisi.

Kwamba baada ya uchaguzi wataanza kushughurika na walionekana kusaliti chama. Sasa kama chama kitakuwa kimeshindwa, unategemea nini kitatokea. Ni mtawanyiko mbele kwa mbele.

ahahahaaa, sipati picha aibu ya ccm mwaka huu.
 
Ya kweli kabisa..ndg zangu...Tuache ushabiki usio na maana..tusimamie HAKI...Uongozi wa CCM ndio umetufikisha hapa tulipo na umasikini wetu...
 
Back
Top Bottom