akatanyukuile
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 314
- 308
Nimekuwa nikijiuliza vyama vya upinzani vilijiondoa kwenye mchakato wa uchaguzi selikar za mitaa. CCM na serikali yake ikagoma kufanya maridhiano wanajidai eti wamepata ushindi wa kisulisuli, sasa siku zinaenda je mwisho wa hili nini?
Kama ikafika siku wakahitimisha kibabe kama walivozoea ina maana miaka mitano tutakuwa kwenye ujima, je ndo mwisho wa vyama vingi?
Mwenye uelewa tujuze. Asante.
Kama ikafika siku wakahitimisha kibabe kama walivozoea ina maana miaka mitano tutakuwa kwenye ujima, je ndo mwisho wa vyama vingi?
Mwenye uelewa tujuze. Asante.