sawa nimekusikiza na nimemsikiza Bi Fatma (Mwanasheria), waswahili wanasema kila mwamba ngozi uvutia kwake. Mimi sidhani na sihafiki kwamba CUF walishinda chaguzi zote zilizopita. CUF itakuwa kichwa cha mamluki kukaa tu kimya na kuna ushahidi wameshindwa chaguzi zote hizo, Maana kama ni kweli, CUF wajiulize swali la msingi, je wao kama chama cha siasa wako hapo kuongoza nchi au kuwa wapinzani, na sidhani jibu litakuwa hilo nalowaza mimi...
Kwangu mimi na watu wote na jumuia ya kimataifa kwa ujumla tunaelewa kwamba CUF hawana support kubwa Zanzibar ndio mana hawakuwa na kura za kutosha kwenye chaguzi zilizopita. kama hilo litabadilika huko mbeleni sijui LAKINI uchaguzi huu umefichua tactics zao za ku-rig uchaguzi huu, HAKUNA mtu kutoka CUF aliyepingwa allegations hizo and so, the allegation will stand, at least for now.