Nini hasa sababu ya Iran kutaka kufunga strait of hormuz?

Hapana c kweli, wale walio tawala siku za nyuma, walikuwa na tawaliwa kwa kuwa walikuwa hawana viongozi wakuwaongoza, na ule ujinga ulitawala.

Kwa sasa bora tupumzike na ujinga huo, hakuna wajinga tena duniani, yani Marekani asitufanye cc wajinga.
 
Nini maoni yako kuhusu Iran kuufunga mlangi bahari wa Hormuz??? Naona watu mnalalamika tu bila kutoa maelezo yenu!!!!
Hapana c kweli, wale walio tawala siku za nyuma, walikuwa na tawaliwa kwa kuwa walikuwa hawana viongozi wakuwaongoza, na ule ujinga ulitawala.

Kwa sasa bora tupumzike na ujinga huo, hakuna wajinga tena duniani, yani Marekani asitufanye cc wajinga.
 
Ni sahihi kusema hivyo kwasababu Israel ilikiuka haki za binadam kabla .
Vipi je ye Israel anavyotapa waziwazi kuwafyeka Palestines wa Ghazar sio kosa hilo?!
Embu acheni kasumba iliyojaa ushabiki maandazi na ushabiki kisheti ndani yake.
Angalieni haki pande zote
 
mmhh
 
Unajua kama hao Israel kufutwa ni sawa tuu?!
Mkuuu nimesoma post zako dah u ar very novice Kiukweli sio utani.
Inamaana hao Israel vitisho vya kilasiku vya kuifyatua Palestines hawafanyi kosa?!
 
Sidhani kama kona ukweli hapo
 
Kujihami na. Kuipiga nchi ni vitu viwili tofaut.
Striking and protecting yourself ni vitu mbili tofaut.
Mtu unajiweza kujihami kwa kujiwekea ulinzi madhubuti kama Iran.
Kupiga it means kama anavyofanya USA KWa Libya na kwengineko pasi na reasonable factors ila ni ulafi wa mali tyu.
Mkuu duh kajifunze kiswahili pia
Naona umeuliza na kujijibu mwenyewe kutokana na chuki kukuzidi soma hapo niliko bold na rangi nyeusi.

Kwaheri
 
Kwanini nijifunze kiswahili?
 
Daaaah aseee Nimeamini we jamaa unaongea kishabiki.
Hivi nani anayeiharibu Palestine ukanda wa Ghazar na Jerusalem ?!
Kaka hii chai yako yamoto sana
Mtoe China, U.S na Israel hapo hawa hawana malengo ya kuharibu taifa lolote.

Ila N.K wana malengo hayo kwanini aachwe atengeneze kiongozi?
 
Namsaidia.
Kuna movie inaitwa haksaw ridge inahusiana na ww2 .
Kuna mzee mwisho wa ile movie ndiye aliyekuwa anaelezea vita ya pili ya dunia kwasababu yeye alishiriki kama muokoaji.
Alisema kwa mdomo wake"we were about to lose a war against Japan because they were too strong to us if not that atomic bomb to make them surrender all plans of USA could be down"
Asa hapo jiulize nimekuachia homework.
Which plans of USA could be down?
Na kaka ukumbuke kuwa USA ilikua ikimuuzia silaha kundi la kina Britain ,France ili kukinzana na Kina Germany,Italy na Japan.
Na walishawekeana contract vita ikiisha walipane hayo maden.
Ndio maana USA kuona maji yapo shingoni aliamua kupiga Nagasaki ili awapooze Japan maana walikua wakimwashia moto wa gesi ya oryx.
Naam mimi ni muhuni msomi! Mjasiri haachi asili I'm thug than the word thug.

Naomba nikuulize maswali mawili kama huwa unafatilia historia.
Kwanini marekani aliipiga Nagasaki?

Na kwanini Hiroshima milipuko ilitokea kwenye vinu vyao vya nuclear?
 
Sina chuki nao ila atleast acha ushabiki simama katika haki.
Hawa jamaa ni madhulumu sanaa wanaua mpk watoto wa kipalestine.
Na bora ingekuwa kidini ila wakristo na waislam wote wa ule ukanda wanamwombea mabaya huyu Israel na Netanyahu yake.
Then unasema hana haja ya kumpiga mtu ilhali anawapiga wanyonge Palestines.
Una chuki na Israel?
 
Bora azibe tu hiyo strait of hormuz ili America naye apate akili kuwa sio kila nchi anapotaka kuinyanyasa itakubali kunyanyasika kwa ulafi wake wa mali.
Maana vikwazo havina hata maana anavyoviweka dhidi ya wenzake.
Anataka yeye awakandamize wenzake atakavyo ilhali hii si sawa.
 
Dua la kuku huwa halimpati mwewe! Tafuta Biblia ya agano la kale funua nyuma kabisa ya Biblia utaiona ramani ya Israel ya zamani sana ambayo ilikuja kuvamiwa na waarabu.

Hiyo ardhi ya Palestine ni ya Israel na maeneo yao wameanza kuyarudisha taratibu.

BTW sina ushabiki hata kidogo na sijawahi kushabikia vita, wananchi wa ukanda wa gaza wana sababisha wao kupigwa mabomu, sasa hivi wana uchora ukuta uliojengwa na Israel kwa maneno yao na katuni za chuki wanajua wanachokipata wanakamatwa wanapelekwa jela za israel na wanateseka mno.
 
Umeshindwaje kuichanganua tofauti kati ya kujihami na kuipiga nchi na kutamka directly jamaa kajiuliza na kujijibu mwenyewe ?!
Ummayed malengo ya Iran kutengeneza silaha za nuclear unayajua?

Malengo ya N.k kutengeneza silaha za nuclear unayaju?
Na je unafahamu athari za hizo silaha?

Najua utasema mbona U.S anazo je kila taifa likiachwa liunde silaha zake hii itakuwa dunia ya aina gani? Kumbuka Tanzania tuna madini ya uranium tunaweza kuunda pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…