Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,620
- 46,262
China imeimbia Iran iwajibike kuzuia mashambulizi ya Wahouthi wa Yemen huko katika bahari nyekundu au vinginevyo uhusiano wao wa kibiashara utaharibika.
China ndiye mnunuzi mkubwa wa mafuta ya Iran na imeisaidia sana Iran kuhimili na kuhepa vikwazo vigumu vya uchumi vya Magharibi.
China ndiye mnunuzi mkubwa wa mafuta ya Iran na imeisaidia sana Iran kuhimili na kuhepa vikwazo vigumu vya uchumi vya Magharibi.