Nini hasa kinawapumbaza waajiriwa?

Nini hasa kinawapumbaza waajiriwa?

BradFord93,
Hivi wanaoishi nyumba za Serikali umeme ni bure na maji ni bure? Naomba tujuzane ndugu zangu, kwa sababu mimi hili ndiyo nalisikia leo
 
Kuajiriwa ni umasikini wa kujitakia!

Na ole wako uchukue mkopo saccos, utaichukia hiyo kazi nakwambia
MKUU,

UNAZUNGUMZIA WAAJIRIWA GANI HAO WENYE UMASIKINI WA KUJITAKIA??

NI HAWA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI, MA_C.E.O WA KAMPUNI ZA MAWASILIANO, MAKATIBU WAKUU WA WIZARA, WASEMAJI WA IDARA NYETI, MAKAMISHNA WA TRA NA UHAMIAJI AU WAAJIRIWA GANI UNAWAZUNGUMZIA?
 
Ndio maana huyo 'mentle' wako pia alikua anaulizia fundi wa kutengeneza kifaa chake cha kubebea watu ambacho ni grand mark 2(gx 110) yenye matatizo ya kugonga miguu ya mbele anayepatikana huko Tabata.

mkorinto,
 
Mkuu hapa naomba nipingane na wewe kabisa. Kwanza kabisa waajiriwa unaowazungumzia wewe ni wapi? Maana naona unachukulia kama waajiriwa wote ni sawa mfano waajiriwa kwenye mashirika ya kimataifa, taasisi nyeti za serikali, wakurugenzi, maafisa, madaktari, malecturer, TRA, mabenki nk wote hao kweli hawawezi kujenga?
Mfano walimu wengi siku hizi wanaofundisha shule za sekondari za binafsi, english medium, international school nk wanakula mishahara minono ambayo inawawezesha kujenga na kuishi maisha decent sana tu kinyume kabisa na matarajio yako. Pia siku hizi kuna SACCOS na benki zinawakopesha mpaka milioni 50 na zaidi kweli bado utasema muajiriwa hawezi kujenga?
Usichokijua nchi hii watumishi zaidi ya 70% wanalipwa chini ya Gross salary ya Tsh. 1mil/month(regardless ni private/public sector) na waliobaki ndio hao labda uliowataja hapo juu.
 
Nchi hi wafanyakazi wa serikalini wako kama laki tano na nusu.

Hao WAKURUGENZI WA HALMASHAURI, MA_C.E.O WA KAMPUNI ZA MAWASILIANO, MAKATIBU WAKUU WA WIZARA, WASEMAJI WA IDARA NYETI, MAKAMISHNA WA TRA NA UHAMIAJI ni asilimia ngapi ya watumishi wote?
MKUU,

UNAZUNGUMZIA WAAJIRIWA GANI HAO WENYE UMASIKINI WA KUJITAKIA??

NI HAWA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI, MA_C.E.O WA KAMPUNI ZA MAWASILIANO, MAKATIBU WAKUU WA WIZARA, WASEMAJI WA IDARA NYETI, MAKAMISHNA WA TRA NA UHAMIAJI AU WAAJIRIWA GANI UNAWAZUNGUMZIA?
 
Ndio maana huyo 'mentle' wako pia alikua anaulizia fundi wa kutengeneza kifaa chake cha kubebea watu ambacho ni grand mark 2(gx 110) yenye matatizo ya kugonga miguu ya mbele anayepatikana huko Tabata.

mkorinto,
MKUU,

NI LINI HIYO HUYO "MENTAL" WA JAMAA ALIKUWA ANAULIZIA FUNDI WA GX100 INAYOGONGA MIGUU YA MBELE?

SIJAIPATA HIYO.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio maana huyo 'mentle' wako pia alikua anaulizia fundi wa kutengeneza kifaa chake cha kubebea watu ambacho ni grand mark 2(gx 110) yenye matatizo ya kugonga miguu ya mbele anayepatikana huko Tabata.

mkorinto,
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]labda ni kabla hajatoboa mkuu,si unajua waleo sio wa jana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
MKUU,

NI LINI HIYO HUYO "MENTAL" WA JAMAA ALIKUWA ANALIZIA FUNDI WA GX100 INAYOGONGA MIGUU YA MBELE?

SIJAIPATA HIYO.
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ni kipindi hajajua kama kile alichukuwa nacho kilikuwa ni kifaa cha kumkinga na mvua\jua.

baada ya kugundua kuna gari.sasa anasema amesahau hata garage ni kitu gani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
MKUU,

NI LINI HIYO HUYO "MENTAL" WA JAMAA ALIKUWA ANALIZIA FUNDI WA GX100 INAYOGONGA MIGUU YA MBELE?

SIJAIPATA HIYO.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Huu hapo mzee baba


Huu uzi aliuandika 2018 kabla hajaanza kujimwambafy, alivyoanza kujimwambafy wadau wakafukua kaburi akaona noma akaedit content model ya gari akai-delete akaongeza na paragraph ya mwisho ambayo kwny original content haikuwepo hahah.

Mimi nilikuaga najua anapeleka magari huko CFAO kumbe anatafuta mafundi wa chini ya miti.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]labda ni kabla hajatoboa mkuu,si unajua waleo sio wa jana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hahah basi itakua alitoboa fasta sana mkuu,maana hio thread ni ya 2018 na yeye ghafla hapo 2019 ndio ameanza kununua ma ford,R/Rover ma bentley hahah.
 
Huu hapo mzee baba


Huu uzi aliuandika 2018 kabla hajaanza kujimwambafy, alivyoanza kujimwambafy wadau wakafukua kaburi akaona noma akaedit content model ya gari akai-delete akaongeza na paragraph ya mwisho ambayo kwny original content haikuwepo hahah.

Mimi nilikuaga najua anapeleka magari huko CFAO kumbe anatafuta mafundi wa chini ya miti.
NIMEIONA ALIVYOIEDITI MKUU,

GARI YAKE INAPIGA KELELE KIASI KWAMBA HAIHITAJI HONI!!!
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Baadhi Ya Walimu na Maafande
Ungejua maafande hasa wale bakabaka ndio wanajenga sana usingewataja hapo kama unabisha fanya kautafiti kadogo kwa mafundi ujenzi waulize maboss wao kwa sasa ni kina nani
 
Back
Top Bottom