BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 921
- 2,244
Unakuta mtu ameajiriwa kila mwisho wa mwezi anapokea mshahara, kila katikati ya mwezi anapokea posho, anaishi kwenye nyumba za serikali.Umeme bure na Maji bure.
Amefanya kazi miaka yote na umebaki mwaka mmoja kustaafu, hana kiwanja wala nyumba alojenga kipindi cha ajira miaka yote Hata nyumba alonunua (maybe kujenga ni process)
Amefanya kazi miaka yote na umebaki mwaka mmoja kustaafu, hana kiwanja wala nyumba alojenga kipindi cha ajira miaka yote Hata nyumba alonunua (maybe kujenga ni process)