silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
These people are not serious, kwa kawaida Mabom hutakiwa kupigwa kama upande wa pili kuna mtu mmoja wau zaidi ana Silaha ya moto, unaweza tumia Maboma au Bunduki kwa kumtisha na si kumuua, Sasa Josephin alikosa nini mpaka waka taka kumpasua kichwa?
Na hao ndugu wengine hata sijui kama wamepona Hivi Watanzania tunakwenda wapi tuandamane bhana
Na hao ndugu wengine hata sijui kama wamepona Hivi Watanzania tunakwenda wapi tuandamane bhana