Nini furaha ya mwanamke katika ndoa?

Nini furaha ya mwanamke katika ndoa?

Unajua ukimwacha mke kwenda nje maana yake uwe umepata mtamu zaidi yake. Eeeh wewe mtamu mama?
Wee wee wee asikwambie mtu toka nianze kuingia kwenye hizi ligi za matopeni lzm nichukue kombe kwa uta...... ila si unajua wengine wanakuwa wanang'ong'a ila we itabidi .....
 
Kwani kuna mtu amekwambia nakausingizi au ndiyo zamu ya mama chanja!!!
Hahaha wewe .
Kesho utanisimulia zaidi.
Wee wee wee asikwambie mtu toka nianze kuingia kwenye hizi ligi za matopeni lzm nichukue kombe kwa uta...... ila si unajua wengine wanakuwa wanang'ong'a ila we itabidi .....
 
Jamani jf acheni inanifanya mda mwingi niwe happy sijui kwann
 
Wanasema" mpe hela...we mpe hela...mpe hela..mpe helaaaaa
 
Back
Top Bottom