Nini faida au hasara ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na jirani yako?

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,566
Wakurungwaaa najeee?

Kwa sisi wadau wa nyumba za kupanga kwa namna fulani unaweza kujikuta umevutiwa na jirani yako fulani kwa namna moja au nyingine. Au unaweza kujikuta unaangukia kwenye mahusiano na Mwanamke au mwanaume anayeishi karibu sana na nyumbani kwako.

Je, kuna faida au hasara yoyote ya kuwa na mahusiano ya namna hii?
 
Akikuacha huku bado unampenda akaanza kuleta wanaume wengine utaweza vumilia?au itabidi uhame??

Akisema Kodi hana na wewe ndo mpenzi wake ...utalipa ?

Ukimuacha ukaanza leta msichana mwingine itakuwaje??..

Akihamia msichana mwingine halafu ukampenda kuliko huyo utafanyaje??..

Mwenye nyumba akiwa anamtongoza... utafanyaje??
 
Akikuacha huku bado unampenda akaanza kuleta wanaume wengine utaweza vumilia?au itabidi uhame??

Akisema Kodi hana na wewe ndo mpenzi wake ...utalipa ?

Ukimuacha ukaanza leta msichana mwingine itakuwaje??..

Akihamia msichana mwingine halafu ukampenda kuliko huyo utafanyaje??..

Mwenye nyumba akiwa anamtongoza... utafanyaje??
😀😀😀😀asipo elewa hapo basiii


Jirani ni wa kumegana kisela tu na kusaidiana mkizidiwa mahusiano nehinehi
 
Haitakiwi kabisa kuwa na mahusiano na mtu wa mtaani au kijijini kwako kwa usalama wako na heshima yako mtaani.
Mbali na hapo kuna fursa zitakupita kushoto
 
Unampata kiurahisi, hata usiku mambo yakiingiliana, unamtonya anatoka nje, unamuinamisha hata kwenye uchochoro unaweka cha mkwezi.

Onyo, ila usimpende, ukipenda sana, siku akikubwaga watu watasema una ngoma bure.😂🤣
 
Back
Top Bottom