Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,133
- 56,576
leo umenifumbua,kuna jamaa yangu alikuwa akimpeleka mama yake kwa Godman wakati ana kisukari,alikuwa anapewa midawa kibao,nishangaa leo kusoma kumbe Godman ni wa vichaa.Sina uhakika na hili, ila nijuavyo mimi Godman ni dk wa Vichaa.
Kuhusu mleta maada pole sana kwa kweli.