Nini Dawa ya Ushoga?

Nini Dawa ya Ushoga?

Mwambie, pamoja na ushauri niliyowahi kutoa, aende hosptali kufanyiwa bomba, ajitahidi kufanya mazoezi ya kukaza misuli ya uume (kama kegel, jelging), kula vyakula ninavyoongeza homoni za kiume, n.k. KILA KITU KINAWEZEKANA...
 
Habari zenu wana Jf,

Hivi hawa watu wanamatatizo gani? Unawezaje kuacha wanaume wenzako wakatumia mlango wa kuzimu kama barabara kuu tena ya Nyerere road?

Haya ni baadhi ya maswali ninayojiulizaga maana rate ya hawa jamaa inazidi kuongezeka tu, wapo kila kona kama smartphones.

Haya ndugu zangu nisaidieni kidogo maana hili swali nakosaga jibu lake hii tabia ya ushoga ushoga ni tabia, Ugonjwa au makusudi tu?
 
Siyo makusudi, ushoga husababishwa na mazoea pamoja na mazingira ya kifirauni anayokutana nayo mtu ambayo hatimae ndo yanakuwa ni tabia ya huyo mtu
 
vitu ambavyo sivipendi duniani ni USHOGA NA UTEJA hakika kuliwa kiboga na dume lenzako tena unazungusha nyonga ni laana isiyo na kipimo na maandiko yalisema kua hakuta kua na gharika au maangamizo ya moto kama sodoma lakini mda si mrefu gharika la moto litarudi
 
vitu ambavyo sivipendi duniani ni USHOGA NA UTEJA hakika kuliwa kiboga na dume lenzako tena unazungusha nyonga ni laana isiyo na kipimo na maandiko yalisema kua hakuta kua na gharika au maangamizo ya moto kama sodoma lakini mda si mrefu gharika la moto litarudi

Mungu atuepishe tu mkuu,maana hii ni zaidi ya laana
 
Siyo makusudi, ushoga husababishwa na mazoea pamoja na mazingira ya kifirauni anayokutana nayo mtu ambayo hatimae ndo yanakuwa ni tabia ya huyo mtu

lakini mkuu mbona kuna case unakuta mtu na kaka yake wote wamelelewa kwenye mazingira sawa ila waweza kuta kaka mtu yupo vizuri tu lakini mdogo mtu raia wema wanakula mzigo kama kawa,hii unaizungumzia vipi?
 
Nimeona mashoga wengi wakiombewa na Tb Joshua kwenye Emmanuel TV wanapona ........it's a demonic possession
 
vitu ambavyo sivipendi duniani ni USHOGA NA UTEJA hakika kuliwa kiboga na dume lenzako tena unazungusha nyonga ni laana isiyo na kipimo na maandiko yalisema kua hakuta kua na gharika au maangamizo ya moto kama sodoma lakini mda si mrefu gharika la moto litarudi


usiwe bias katika kutoa laana...ningekuwa mimi wa kwanza yule anaemtia mwenzake....ndio ana-keep hawa existing ya hao watu.... no fucker no gay
 
Habari wana JF!

Mtoto wa Wangu amegeuka shoga ana miaka 13. Nifanyeje ili kumtoa katika janga hili? Naomba msaada wenu wa mawazo ndugu zangu.

Roho inaniuma lakini sina cha kufanya!




Pole sana! Usiseme sina la kufanya! Huyo ni mwanao na bado ni MTOTO. Napendekeza yafuatayo:
1. Tafuta chanzo. Hilo litawezekana tu kama utakubali kuwa mpole na mfanye rafiki yako, usiwe mkali kwake. Tafuta taarifa kwake kwa mambo yafuatayo:
a). Alianza lini na nani alianza kumharibu. Tafuta pia habari kwa rafiki zake na kaka/dada zake.
b).Hakikisha unampata aliyeanza kumharibu mshitaki, usimwache inawezekana kabisa alimharibu akiwa na miaka chini ya kumi akiwa shule ya msingi!
c). Mtafute mtaalam wa saikologia amsaidie ili aweze kujiamini tena.
d). Mfanye rafiki yako ili akuamini hivyo aweze kusikiliza ushauri wako.
 
Back
Top Bottom