TOURMALINE
Senior Member
- Jan 4, 2013
- 125
- 24
Wana jf habari zenu
Naomba msaada wenu ili niweze kujua chanzo halisi cha vita ya kagera
Nawasilisha
Naomba msaada wenu ili niweze kujua chanzo halisi cha vita ya kagera
Nawasilisha
Kwa history hiyo ya mdau 1 hapo juu inaonyesha kabisa kua Nyerere ndiye aliye mchokoza Iddi Amin, nachanzo cha yote nikutaka kumrudisha mkiristo mwenzie madarakani. Hii tunaweza iita ilikua ni vita ya msalaba aliyo pigana Nyerere kuimarisha kanisa ktk ukanda huu wa Africa mashariki.
...hivi jirani yako akiingia nyumbani kwako akawaingilia watoto, pia akambaka mkeo, na ukamkuta bado amelala chumbani kitandani kwako;echolima kashasema ukweli hapo juu!!!! ukweli ni kwamba nyerere ndio alikua mchokozi na ndio maana baada ya vita hakuna nchi nyingine kwenye OAU iliyokubali kulipia cost za peacekeeping uganda wakat serikali mpya ikijenga instituitions na kutokna na cost hizo uchumi wa TZ haukuweza ku-recover pamoja na kwamba chini ya nyerere viwanda na uzalishaji ulikua juu!!!! cost za hii vita na peacekeeping ndio zimetufilisi we love nyerere lakini kwa apa alikosea... alitakiwa baada ya kuigomboa kagera basi angetuliza mpira!!!
echolima kashasema ukweli hapo juu!!!! ukweli ni kwamba nyerere ndio alikua mchokozi na ndio maana baada ya vita hakuna nchi nyingine kwenye OAU iliyokubali kulipia cost za peacekeeping uganda wakat serikali mpya ikijenga instituitions na kutokna na cost hizo uchumi wa TZ haukuweza ku-recover pamoja na kwamba chini ya nyerere viwanda na uzalishaji ulikua juu!!!! cost za hii vita na peacekeeping ndio zimetufilisi we love nyerere lakini kwa apa alikosea... alitakiwa baada ya kuigomboa kagera basi angetuliza mpira!!!
We love Nyerere. Kuiongoza nchi kuingia vitani si mchezo.
umetanguliza zaidi udini badala ya kuutafakari ukweli, amini na gadafi ndiyo waliokuwa wadini, hamnataifa lililomsaidia nyerere kwa ukristo wake lakini gadafi alimsaidia amini kwa vile tu ni mwislamu na akasahau ukweli na haukuchukua muda yakamrudi! vile vile kumbuka wakati na baada ya vita ya kagera maraisi wengi walikuwa wakristo hivyo isinekuwa nongwa kwao kumsupport nyerere kama issue ilikuwa kuupinga uislamu, TAFAKARI MAOVU YA IDD AMINI KAMA YALIVO YA KAGAME. Nyerere angekuwa mdini asingewaunga mkono wapalestina na awaache waisraeli, asingetaifisha shule za kanisa kwa ajili ya wakristo na kuzifanya za kitaifa kutoa elimu kwa wote, tafakari acha utoto najua ndiyo mnayofundishwa misikitini.
hata JK yupo mbioni, vita dhidi ya rwanda haitakwepeka kama tunajali kweli haki na ustawi wa Afrika.
''ndiyo mnayofundishwa misikitini'' Tafadhali chunga mdomo wako kijana.