DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,610
- 17,825
Ni kwamba hizi biashara zinalipa sana au Ni kwa sababu vijana wetu wengi hawana shughuli mjini...?
Ni kwa sababu Hatuna njia nyingine ya kufikiri kujikimu kwa mahitaji yetu ya kila siku..?
Au ni kwa sababu ya Kuongezeka kwa Gharama za maisha?
Ushauri jinsi ya kujinasua au kuzifanya shughuli hizi bila kudhurika yaani kama maafisa usafirishaji wengi wanavyopata ajali na kupoteza maisha kwani hawajali afya zao??
pia nini kifanyike kupunguza uraibu wa hawa maafisa Ubashiri ambao Wanaongezeka kwa kasi sana...
Je kuna haja nao wakaunda chama chao kama hawa maafisa ubashiri ili kujifunza sheria na taratibu za biashara zao Asanteni na karibuni...
Baadhi ya Maafisa Ubashiri wakiwa kazini katika kusuka Odds Tata ili wapate Chochote kwa Kanjibhai...
Hawa ni baadhi ya maafisa Usafirishaji wakijitahidi katika majukumu yao...
Ni kwa sababu Hatuna njia nyingine ya kufikiri kujikimu kwa mahitaji yetu ya kila siku..?
Au ni kwa sababu ya Kuongezeka kwa Gharama za maisha?
Ushauri jinsi ya kujinasua au kuzifanya shughuli hizi bila kudhurika yaani kama maafisa usafirishaji wengi wanavyopata ajali na kupoteza maisha kwani hawajali afya zao??
pia nini kifanyike kupunguza uraibu wa hawa maafisa Ubashiri ambao Wanaongezeka kwa kasi sana...
Je kuna haja nao wakaunda chama chao kama hawa maafisa ubashiri ili kujifunza sheria na taratibu za biashara zao Asanteni na karibuni...
Baadhi ya Maafisa Ubashiri wakiwa kazini katika kusuka Odds Tata ili wapate Chochote kwa Kanjibhai...
Hawa ni baadhi ya maafisa Usafirishaji wakijitahidi katika majukumu yao...