Nini chanzo cha ongezeko la Maafisa ubashiri (Wanaobeti) na maafisa usafirishaji (Bodaboda)..?

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
May 10, 2012
8,610
17,825
Ni kwamba hizi biashara zinalipa sana au Ni kwa sababu vijana wetu wengi hawana shughuli mjini...?

Ni kwa sababu Hatuna njia nyingine ya kufikiri kujikimu kwa mahitaji yetu ya kila siku..?

Au ni kwa sababu ya Kuongezeka kwa Gharama za maisha?

Ushauri jinsi ya kujinasua au kuzifanya shughuli hizi bila kudhurika yaani kama maafisa usafirishaji wengi wanavyopata ajali na kupoteza maisha kwani hawajali afya zao??

pia nini kifanyike kupunguza uraibu wa hawa maafisa Ubashiri ambao Wanaongezeka kwa kasi sana...
Je kuna haja nao wakaunda chama chao kama hawa maafisa ubashiri ili kujifunza sheria na taratibu za biashara zao Asanteni na karibuni...

Baadhi ya Maafisa Ubashiri wakiwa kazini katika kusuka Odds Tata ili wapate Chochote kwa Kanjibhai...

images - 2023-10-05T160108.634.jpeg


images - 2023-10-05T160137.444.jpeg


images - 2023-10-05T160213.073.jpeg
images - 2023-10-05T160022.571.jpeg



Hawa ni baadhi ya maafisa Usafirishaji wakijitahidi katika majukumu yao...
images (100).jpeg

images (97).jpeg
 
Ni kwamba hizi biashara zinalipa sana au Ni kwa sababu vijana wetu wengi hawana shughuli mjini...?

Ni kwa sababu Hatuna njia nyingine ya kufikiri kujikimu kwa mahitaji yetu ya kila siku..?

Au ni kwa sababu ya Kuongezeka kwa Gharama za maisha?

Ushauri jinsi ya kujinasua au kuzifanya shughuli hizi bila kudhurika yaani kama maafisa usafirishaji wengi wanavyopata ajali na kupoteza maisha kwani hawajali afya zao??

pia nini kifanyike kupunguza uraibu wa hawa maafisa Ubashiri ambao Wanaongezeka kwa kasi sana...
Je kuna haja nao wakaunda chama chao kama hawa maafisa ubashiri ili kujifunza sheria na taratibu za biashara zao Asanteni na karibuni...

Baadhi ya Maafisa Ubashiri wakiwa kazini katika kusuka Odds Tata ili wapate Chochote kwa Kanjibhai...

View attachment 2772713

View attachment 2772714

View attachment 2772715View attachment 2772712


Hawa ni baadhi ya maafisa Usafirishaji wakijitahidi katika majukumu yao...
View attachment 2772718
View attachment 2772717
Maisha mkuu!
 
Yanachangamoto,unaweza kufanye usichotegemea na hukipendi,mimi niliendesha bajaji ili nipate hela hiyo kazi sikuipenda ila watoto wangu walikuwa shule na mahitaji yanatakiwa!Ikanilazimu mkuu,mambo yakawa safi sana tena sanaa!
Ukitaka kufanya unayo upenda.. utalala njaa na kutia aibu mjini
 
Yanachangamoto,unaweza kufanye usichotegemea na hukipendi,mimi niliendesha bajaji ili nipate hela hiyo kazi sikuipenda ila watoto wangu walikuwa shule na mahitaji yanatakiwa!Ikanilazimu mkuu,mambo yakawa safi sana tena sanaa!
Safi sana mkuu...kungekuwa na Option ya kupin hii comments ningeipin mkuu hii inatia moyo watu wote wanaoona hizi kZi ni uhuni 📌📌📌
 
Back
Top Bottom