Nini cha msingi kufanya mara tu baada ya ku do.

Nini cha msingi kufanya mara tu baada ya ku do.

ukimaliza first round piga push up ready for second round hii mambo ya story sijui, juice nikulemba visivyolembwa ,its all about kazi tu. ndo maana nyie masharobaro na wasomi wengi mnamegewa na wahuni ambao hawana formular zaidi kazi tu, wanasimamia naiskeli mpaka kwenye mteremko, nyie mnajifanya mnapumua mta pigwa kanzu sana na hizo MAGAZIJUTO ZENU.

mh! Push up tena! Imekuwa mielekea hyo? Loh! Kweli mchele mmoja mapishi mbalimbali! Du!
 
Watu wanajifanya wasafi sana humu, we kabla ya mechi uliiga tena masaa machache baada ya mechi uende bafuni? Ninafsi labda kama ilikua mechi ya mchana na nahtaji kwenda kwenye pilika pilika za maisha baada ya hapo lakini kama ni ucku na cna pakwenda kuoga tenadi ntapo amka kesho asubuhi! alafu hata hizi swaga za kupongezana baada ya mechi sio lazima zifanyike kila siku inakua kama unafki mara nyingine! Badala yake baadhl ya cku unaweza ukawa kimya, ukamkumbatia mwenzio kwa muda na/au ukampa kiss nayo ni ishara ya kua umeridhika!

mengine naunga mkono michango ya wadau wote isipokua lakwenda kuvalia nguo kwenu by my love smile
 
Kwangu mimi ndo wakati muafaka wa kuulizana kile kiwanja cha kigamboni tunajenga nyumba kiasi gani? Kuna mkaka namjua anaweza kusaka hati. Na hii vitz aka baby walker na makorongo haya ya kigogo mvua zikija tunafanyaje?

Plz note: bafuni ni kila baada ya round hata kama ziwe tisa.
mtaenda bafuni mara ngapi?
 
Jambo la kwanza kabisa ni kupongezana kwa kazi nzito mliyotoka kuifanya. Hii itamfanya kila mmoja kuona mwenzake amefurahia tendo.

Ila baada ya hapo ndio mambo mengine yanafuata kama vile;Kwenda kuoga baada ya varangati la hapa na pale ili kuuweka mwili safi. Pia kuufanya mwili uchangamke maana utakuwa umechoka kutokana na zile nenda urudi ulizokuwa unafanya.

Pia unashauriwa kupata kitu cha kulainisha koo(maji au juice) itahusika sana.

Baada ya hapo unaweza ukaupumzisha mwili(kwa kwa kulala) ila kama bado unajiona una nguvu unaweza kuendelea na mambo mengine. Kwa wale wapenzi wa kuangalia movie waangalie, kwa wale wapenzi wa kuchat ruksa.

Hayo ni mawazo yangu.

Bro nakupa tano,hakuna kuremba hapo wala kupongezana game round ya 1 unaanza oooh asante we mtamu,hawa ni wale wala viazi mbatata na soda nguvu hawana,sisi wala nguna demu ka ndo mara ya kwanza,akifika kwake ndo anakutumia msg dah we nimekukuba unado ka unahama,kissha ndo unamwambia asante kwa ushirikiano pia nawe unamwambia nimeukubali mziki wako,et mnacheki muvi,mnachat dooh vijana wa siku hiz bwana mtagegedewa sana,wadada wanatakaga kazi,sio mambo yenu ya ulaya mi hayo tu
 
Wengi huenda kuangalia simu zao watu wangapi wamewatafuta maana zilikuwa silent 🙂
 
ukimaliza first round piga push up ready for second round hii mambo ya story sijui, juice nikulemba visivyolembwa ,its all about kazi tu. ndo maana nyie masharobaro na wasomi wengi mnamegewa na wahuni ambao hawana formular zaidi kazi tu, wanasimamia naiskeli mpaka kwenye mteremko, nyie mnajifanya mnapumua mta pigwa kanzu sana na hizo MAGAZIJUTO ZENU.

Kweli aisee watu wanapenda sana kuremba remba hizi mavitu siku hizi na baby baby nyiiingi!
 
Mpenzi hayana formula ni kama kumla Samaki unaweza kuanza mkia au Kichwa mradi aishe.
 
washkaji vp nyie? juice ya nin? inategemeana na mazingra mfano kijijni hakuna guest hause wa2 wanado porini, juice na maji ya kuoga watatoa wapi? mapenz hayana formula. Acheni uvivu piga game .
 
bila 3 round hakuna kuoga! unaoga ili nini? kwani uchafu huo au,
 
Kwangu mimi ndo wakati muafaka wa kuulizana kile kiwanja cha kigamboni tunajenga nyumba kiasi gani? Kuna mkaka namjua anaweza kusaka hati. Na hii vitz aka baby walker na makorongo haya ya kigogo mvua zikija tunafanyaje?

Du! mambo ya viwanja tena wapi na wapi? Si raha yote inayeyuka?!
 
Ukimaliza jamba kidogo kuondoa hewa chafu mwilini; then .... (nakuja)
 
Kwangu mimi ndo wakati muafaka wa kuulizana kile kiwanja cha kigamboni tunajenga nyumba kiasi gani? Kuna mkaka namjua anaweza kusaka hati. Na hii vitz aka baby walker na makorongo haya ya kigogo mvua zikija tunafanyaje?

Plz note: bafuni ni kila baada ya round hata kama ziwe tisa.

Du! Mambo ya viwanja yanatoka wapi tena? Si raha yote inayeyuka?
 
you said it all........
mwenye masikio na asikie......
ila amini usiamini, unaweza kufanya haya kwa mtu ambaye unam-feel tu na si vinginevyo

Inategemea imefanyikia wapi... What if ni ofisini, kwenye gari, kichochoroni, chooni, au mazingira mengine yeyote yanayolazimu u-chapchap?
 
Inategemea imefanyikia wapi... What if ni ofisini, kwenye gari, kichochoroni, chooni, au mazingira mengine yeyote yanayolazimu u-chapchap?

Hapo mbona sijakuelewa ..... chooni?
 
Mwongozo wa spika...

Kuhusu utaratibu...

Kanuni inahtajika hapaaaaaaaaa?!

Walau mambo kadhaa yazingatiwe

Taaaarifa mhe... Spika

Spika: taarifa


Teh teh teh...
 
Kwangu mimi ndo wakati muafaka wa kuulizana kile kiwanja cha kigamboni tunajenga nyumba kiasi gani? Kuna mkaka namjua anaweza kusaka hati. Na hii vitz aka baby walker na makorongo haya ya kigogo mvua zikija tunafanyaje?

Plz note: bafuni ni kila baada ya round hata kama ziwe tisa.

Nimeipenda hii mwaaa!
 
Back
Top Bottom