Nini cha msingi kufanya mara tu baada ya ku do.

Nini cha msingi kufanya mara tu baada ya ku do.

unampongeza mtu unamwambia baby wewe mtamu ...teh anakujibu najua kila mtu ananiambia hivo...utakomaje..wewe potea zako eneo la tukio hata nguo kavalie kwenu

hahaaa,hapo hamna kurudi tena,labda kama utamu ulikuwa mara 100 na uliowah kukutana
nao before
 
ha haaaa, sisi tunaoishi nyumba za kupanga, bafu mtaa wa sita....
na siku hiyo tuna hamu ya angalau round 6, si watatuona wanga kila mara tunaenda bafuni manane hayo?

hahaaa watu watawajua tu mkienda ya kwanza,ya pili.....
basi watu wanajua tu mtaa wa pili kuna mpambano unaendelea........
 
Back
Top Bottom