Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Kulingana na tamaduni mbalimbali za mwanadamu, kumeibuka tathimini isiyo rasmi inayoumiza vichwa vya wanazuoni wa kimahusiano hasa dhana ya kuoa ama kuolewa!
Hivi binadamu anapoamua kuoa/kuolewa, cha kwanza kabisa anaoa/kuolewa kwaajili ya nini?"
Hivi binadamu anapoamua kuoa/kuolewa, cha kwanza kabisa anaoa/kuolewa kwaajili ya nini?"