Abra One
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 918
- 380
Iwapo ulitumia google account ku-set up simu yako wakati unaanza kuitumia basi unaweza kutumia mitandao iifuatayo kuitafuta kwa kutumia Laptop yako
1.Google’s Android Device Manager.
Ingia katika mtandao huu kisha ingiza password yako ya goole account.Baada ya hapo utaonyeshwa ramani ya simu yako ilipo na unaweza kuipiga simu au kui-lock au kufuta data zote.
2.Google Maps Location History.
Hapa pia utatumia google account yako kuingia na utaonyeshwa maeneo ambayo mwizi wa simu anapenda kutembelea.
Anayefahamu namna ya kutumia IMEI number atufahamishe pia.
N hiyo njia hapo juu ni rahisi zaidi kama aliyenayonayi simu yako yuko online kwenye internet