Mkuu,jifunze jambo hili 'ukimuazima fedha mwanamke tegemea kulipwa papuchi'
Pia,ukimtendea mwanamke wa Kiafika wema hususani Mwanamke wa Kitanzania,hatakama atakulipa fedha nyingi sana lkn asipo kupa papuchi huhisi kama bado hajakurejeshea fedha/fadhila
Pia,iwe ni funzo kwako...nimewahi kufanya biashara na wanawake (ilikuwa ni biashara ya fillet/nyama),mwanamke akichukua mzigo kwa mkopo na akala hasara kwenye mzunguko wa biashara basi atakutaka mmalizane kwa kukupa papuchi
Vilevile,akichukua mzigo kwa mkopo akazungushia na kupata faida;hataki kurejesha fedha alizokopa kwa mwanaume cuz anahsi kama vile anatoa fedha ya bure kumbe ni fedha halali ya mtu
Mwisho,niwakumbushe mwanaume wenzangu kuwa ukiingia ktk mahusiano na mwanamke anayefanya biashara hasa biashara za kusafir Mara kwa Mara basi umeingia kwenye mahusiano na siti ya daladala.Nawapongeza sana ndugu zangu Waislam (japo mm ni mkristo) kwa kuyaishi na kuyasimamia mafundisho yao (wao wanaamini kuwa mwanamke anapaswa kubaki nyumbani kwaajili ya kumlea mumewe na watoto)