Ningekuwa na mamlaka ningefuta safari zote za Dar na mikoani,ikiwemo mabasi,Treni ili kuepusha kusambaa kwa COVID-19

Chukwu emeka

JF-Expert Member
Jan 12, 2018
23,410
36,560
Habari WanaJF,

Niende moja kwa moja kwenye mada,Jiji la Dar es salaam kwa Tanzania ndiyo limeathirika zaidi na ugonjwa wa Corona na kwa mujibu wa waziri wa afya Ummy Mwalimu ugonjwa tayari upo mtaani,inamaana upo Ubungo,Kinondoni,Mwenge,Tegeta Kariakoo,Posta,Temeke,Mbezi,Mbagala,Gongo la mboto nk.

Sasa kuendelea kuruhusu mabasi ya mikoani kuingia na kutoka jiji la Dar es salaam ni hatari ambayo kama taifa hatutaweza kumudu kudhibiti huu ugonjwa maana mabasi karibia yanafika mikoa yote Tanzania,mabasi yanaweza kuwa chanzo cha kuusambaza huu ugonjwa,pamoja na mabasi pia Treni ya Tazara na ya kwenda Kigoma ilitakiwa zisitishwe ili kutousambaza huu ugonjwa.

Pamoja na hayo pia wasafiri wa magari binafsi na malori ilitakiwa kuwe angalau na checkpoint ya kuwapima au kutoruhusiwa pia kutoka DSM ili kuudhibiti huu ugonjwa,lasivyo tunatega bomu ambalo likilipuka hatutakuwa salama.

Kwashughuli nyingine kama masoko,Ibada lazima kuangalia namna ya kuweka vizuri mazingira ya kutokuwa chanzo cha kusambaza huu ugonjwa,nilipita week iliyopita mtaa wa Congo pale Kkoo,bado hatujawa serious sana,japo kuna mwamko wa kunawa mikono na maeneo mengi kuna ndoo za maji kwaajili ya kunawia mikono ila bado msongamano ni mkubwa sana.

Ushauri wangu tusitishe safari za kwenda nje ya DSM ili kutousambaza huu ugonjwa,lasivyo hatutaweza kuuzuia na tutakufa kama kuku wa kideri.

Tuendele kumuomba MUNGU,wakati huohuo tukichukua hatua na kufuata ushauri tunaopewa na wataalamu wetu.

Chikwuemeka
Nyamongo,Tarime

FB_IMG_1586800012911.jpg
 
Wewe hapo ulipo una mamlaka yapi? Je una mamlaka ya kukataza familia yako isitoke nyumbani? Je una mamlaka ya kujipangia ukae nyumbani usiende ofisini? Je una mamlaka ya kumwambia bosi wako uko karantini na huendi kazini?????

Kama una mamlaka hayo inatosha kabisa kuiepusha familia yako na Korona. Utakuwa ume waponya familia yako na inatosha kabisa kwa mamlaka yako
 
JIJI LA DAR LINATAKIWA KUWA LOCKDOWN
Habari WanaJF,

Niende moja kwa moja kwenye mada,Jiji la Dar es salaam kwa Tanzania ndiyo limeathirika zaidi na ugonjwa wa Corona na kwa mujibu wa waziri wa afya Ummy Mwalimu ugonjwa tayari upo mtaani,inamaana upo Ubungo,Kinondoni,Mwenge,Tegeta Kariakoo,Posta,Temeke,Mbezi,Mbagala,Gongo la mboto nk.

Sasa kuendelea kuruhusu mabasi ya mikoani kuingia na kutoka jiji la Dar es salaam ni hatari ambayo kama taifa hatutaweza kumudu kudhibiti huu ugonjwa maana mabasi karibia yanafika mikoa yote Tanzania,mabasi yanaweza kuwa chanzo cha kuusambaza huu ugonjwa,pamoja na mabasi pia Treni ya Tazara na ya kwenda Kigoma ilitakiwa zisitishwe ili kutousambaza huu ugonjwa.

Pamoja na hayo pia wasafiri wa magari binafsi na malori ilitakiwa kuwe angalau na checkpoint ya kuwapima au kutoruhusiwa pia kutoka DSM ili kuudhibiti huu ugonjwa,lasivyo tunatega bomu ambalo likilipuka hatutakuwa salama.

Kwashughuli nyingine kama masoko,Ibada lazima kuangalia namna ya kuweka vizuri mazingira ya kutokuwa chanzo cha kusambaza huu ugonjwa,nilipita week iliyopita mtaa wa Congo pale Kkoo,bado hatujawa serious sana,japo kuna mwamko wa kunawa mikono na maeneo mengi kuna ndoo za maji kwaajili ya kunawia mikono ila bado msongamano ni mkubwa sana.

Ushauri wangu tusitishe safari za kwenda nje ya DSM ili kutousambaza huu ugonjwa,lasivyo hatutaweza kuuzuia na tutakufa kama kuku wa kideri.

Tuendele kumuomba MUNGU,wakati huohuo tukichukua hatua na kufuata ushauri tunaopewa na wataalamu wetu.

Chikwuemeka
Nyamongo,Tarime

View attachment 1418352

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hapo ulipo una mamlaka yapi? Je una mamlaka ya kukataza familia yako isitoke nyumbani? Je una mamlaka ya kujipangia ukae nyumbani usiende ofisini? Je una mamlaka ya kumwambia bosi wako uko karantini na huendi kazini?????

Kama una mamlaka hayo inatosha kabisa kuiepusha familia yako na Korona. Utakuwa ume waponya familia yako na inatosha kabisa kwa mamlaka yako
Mkuu mamlaka yangu nikuhakikisha familia yangu iko salama,usalama wako na familia yako unaanza nawewe mwenyewe
 
Mkuu mamlaka yangu nikuhakikisha familia yangu iko salama,usalama wako na familia yako unaanza nawewe mwenyewe
Well said
Na wenye uelewa wakisoma wataelewa
Na wao waanze kwenye familia zao pia
Mie na familia yangu sitaki hata waende sokoni naenda mwenyewe
 
Well said
Na wenye uelewa wakisoma wataelewa
Na wao waanze kwenye familia zao pia
Mie na familia yangu sitaki hata waende sokoni naenda mwenyewe
Sawa kabisa maana huu ugonjwa ukiwa unausikia tu unaweza kuuchukulia poa,ila ni hatari
 
Habari WanaJF,

Niende moja kwa moja kwenye mada,Jiji la Dar es salaam kwa Tanzania ndiyo limeathirika zaidi na ugonjwa wa Corona na kwa mujibu wa waziri wa afya Ummy Mwalimu ugonjwa tayari upo mtaani,inamaana upo Ubungo,Kinondoni,Mwenge,Tegeta Kariakoo,Posta,Temeke,Mbezi,Mbagala,Gongo la mboto nk.

Sasa kuendelea kuruhusu mabasi ya mikoani kuingia na kutoka jiji la Dar es salaam ni hatari ambayo kama taifa hatutaweza kumudu kudhibiti huu ugonjwa maana mabasi karibia yanafika mikoa yote Tanzania,mabasi yanaweza kuwa chanzo cha kuusambaza huu ugonjwa,pamoja na mabasi pia Treni ya Tazara na ya kwenda Kigoma ilitakiwa zisitishwe ili kutousambaza huu ugonjwa.

Pamoja na hayo pia wasafiri wa magari binafsi na malori ilitakiwa kuwe angalau na checkpoint ya kuwapima au kutoruhusiwa pia kutoka DSM ili kuudhibiti huu ugonjwa,lasivyo tunatega bomu ambalo likilipuka hatutakuwa salama.

Kwashughuli nyingine kama masoko,Ibada lazima kuangalia namna ya kuweka vizuri mazingira ya kutokuwa chanzo cha kusambaza huu ugonjwa,nilipita week iliyopita mtaa wa Congo pale Kkoo,bado hatujawa serious sana,japo kuna mwamko wa kunawa mikono na maeneo mengi kuna ndoo za maji kwaajili ya kunawia mikono ila bado msongamano ni mkubwa sana.

Ushauri wangu tusitishe safari za kwenda nje ya DSM ili kutousambaza huu ugonjwa,lasivyo hatutaweza kuuzuia na tutakufa kama kuku wa kideri.

Tuendele kumuomba MUNGU,wakati huohuo tukichukua hatua na kufuata ushauri tunaopewa na wataalamu wetu.

Chikwuemeka
Nyamongo,Tarime

View attachment 1418352
Usafiri wa mabasi utafungwa baada ya watu wengi kumbukizwa na kufa. Ndio nchi hizi zinavyofanya kazi.
 
Tumeshachelewa,ugonjwa kuudhibiti tunahitaji resources nyingi zaidi ukilinganisha na mwanzoni wakati maambukizi machache
 
NAUNGA MKONO HOJA.YAANI DSM INGEPIGWA LOCKDOWN KWA ABIRIA.HAKUNA BASI KUINGIA WALA KUTOKA.YARUHUSIWE MAGARI NA TRENI ZINAZOLETA NA KUINGIZA MIZIGO TU BASI.NA MAGARI HAYO YA MIZIGO YAWE NA DEREVA MMOJA NA KONDA MMOJA TU BASI.KUWEPO NA CHECK POINT MSATA(KWA MAGARI YANAYOPITIA BAGMOYO KUJA DSM).CHECK POINT NYINGINE IWE CHLINZE(MAGARI KUTOKA CENTRAL LINE) na Mkuranga Kwa magari ya kusini.Kila atakayekatiza point hizo either kwa gari au mguu apimwe VOVID-19.Wahakikishe hakuna malori au pickups kubeba WATU KUINGIZA au kuwatoa DSM.Pia hakuna abiria kuingia au kutoka DSM Kwa upande wa ZANZIBAR.kuwepo na boat za MIZIGO tuu
.Kadhlika WATU wote wa DSM NA ZNBAR walazimishwe kuvaa barakoa wanapokuwa nje ya nyumbani kwao.ABIRIA atakayepatikana NDANI ya DALADALA HAJAVAA barakoa,Trafik ampige fine KONDA na huyo abiria.Huku DSM BADO WATU WENGI tuu wanapanda DALADALA bila barakoa na WANAPIGA CHAFYA kavukavu NDANI ya GARI bila aibu(kwa Hili,Trafik Police wanaweza kutusaidia Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ushauri mzuri kama wataamua yaani magari ya mizigo tu ndio yaruhusiwe ila za abiria zipigwe stop hata kwa muda wa wiki tatu kwanza
Hii itapunguza sana maambukizi ya watu wengi
Kuna watu hawajui kabisa kuwa huu ugonjwa ni mbaya na unauwa wengi
Lockdown ni muhimu ila kila nchi Ina njia zake za kupambana


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom