GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,524
- 108,805
"Huwa tunafanya Ukaguzi japo siyo mkubwa sana wa haya Mabasi ya Mikoani ila kwa Mwezi huu na Kuelekea hizi Sikukuu za mwisho wa mwaka tumeamua Kuongeza umakini zaidi ili Kupunguza ama Kuzuia kabisa Ajali" alisema Mrakibu wa Ukaguzi wa Mabasi ya Mikoani Trafiki Makao Makuu Dar es Salaam alipokuwa Magufuli Bus Terminal leo Asubuhi na Kuzungumza moja kwa moja na Magic FM katika Kipindi chao cha Morning Magic.
Watanzania tulikuwa tunatafuta mno Chanzo cha Ajali za barabarani mpaka kufikia hatua ya Kumsingizia na Kumbebesha Mzigo usio wake Shetani kuwa Yeye ndiyo sababu na huenda huwa anatushangaa sana tu.
Watanzania tulikuwa tunatafuta mno Chanzo cha Ajali za barabarani mpaka kufikia hatua ya Kumsingizia na Kumbebesha Mzigo usio wake Shetani kuwa Yeye ndiyo sababu na huenda huwa anatushangaa sana tu.