ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,059
- 49,743
Kwenye #SupaBreakfast Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi, akizungumza kuhusu kuanza kwa safari za treni ya kisasa SGR kutoka Dar es salaam hadi Morogoro amesema:
"Kulikuwa na mabadiliko kidogo kuhusu hasa ratiba kwa sababu kuna vitu vinaweka vizuri ili huduma hiyo ikianza kuwe na usalama wa kutosha na huduma zilizonyooka kwahiyo tunatarajia hivi karibuni Shirika la Reli litatangaza kwa uhakika kuwa ni lini huduma inaanza.
My Take
Safari za Sgr zikishaanza hivi Punde baada ya hiyo ratiba mnistue 😁😁
"Kulikuwa na mabadiliko kidogo kuhusu hasa ratiba kwa sababu kuna vitu vinaweka vizuri ili huduma hiyo ikianza kuwe na usalama wa kutosha na huduma zilizonyooka kwahiyo tunatarajia hivi karibuni Shirika la Reli litatangaza kwa uhakika kuwa ni lini huduma inaanza.
My Take
Safari za Sgr zikishaanza hivi Punde baada ya hiyo ratiba mnistue 😁😁