Ningekuwa na gari ningetoa funguo...

Ningekuwa na gari ningetoa funguo...

D 007

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2012
Posts
206
Reaction score
147
Ningekuwa na gari ningetoa funguo...itawezekana vii kuwa na mpenzi mmoja????
f1.jpg
f2.jpg
f3.jpg
f4.jpg
f5.jpg
 
Pole sana very simple like this unakabidhi ufunguo...........bora haukuwa na ufunguo!!
 
Aisee kumbe wewe dahaifu hivi! Yaani mimi nilivyo na madeni nawaona hao kama nguzo za umeme barabarani full stress m2 wangu!
 
Gari????umepotea,wewe toa gari halafu litatumika kumbeba mwenzio ambae hajampa chochote ukisia hiyo sijui utajinyonga au??
 
wewe tafuta mkwanja hao unawagegeda alafu baadae unawaona taka tuuu
 
Hata nyumba niliyopanga naweza itia sokoni,tutajuana na faza hse mahakamani,CHEJEA WAREMBO WEYE
 
Hivi dunia hii utatoa funguo za magari kwa wangapi? au utatembea na wangapi? au utawapenda na wangapi? Ifikie kipindi tuwe na uwezo wa kuamrisha mioyo yetu kutii akili zetu na kuridhika na yule tutakayekuwa tumemchagua. Ni suala la kuridhika zaidi kuliko kuendekeza tamaa!
 
kusanya hela ununue au chukua hata mkopo, ukkanunue gari upate huo ufunguo......
 
Tafuta mahela tu kaka hayo mengine yote simple,ila uje pia you'll be digging your own grave ukiendekeza hayo mambo.
 
Ukiona unapenda mwanamke aliyekaa mapozi ya kimalaya laya tafsiri yake na wewe ni malaya tu......
 
Hivi dunia hii utatoa funguo za magari kwa wangapi? au utatembea na wangapi? au utawapenda na wangapi? Ifikie kipindi tuwe na uwezo wa kuamrisha mioyo yetu kutii akili zetu na kuridhika na yule tutakayekuwa tumemchagua. Ni suala la kuridhika zaidi kuliko kuendekeza tamaa!

Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kupata hasara ya nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?

Mathayo 16:26
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom