Siku ya kuugulia ukimwi kitandani utauliza hivi dada white, black, miss wowowo, miss kimbaumbau wako wapi?!!!!!!!!! Hata roho itapotoka hutawaona tena zaidi ya familia yako ikisikitika kwa usaliti uliyoitendea kushindwa kutimiza wajibu wako na kuparamia vimbwanga vya dunia vikakuondoa kabla ya ridhaa ya mungu aliyekuumba.