Ningekuwa Kikwete ningekimbia Nchi

Akimbie mara ya pili? Wewe ulishawahi kumwona raisi anaeacha nchi kwenye vita anaenda kukokotwa Canada au kubembea majuu? Huyu jamaa alishindwa na kukimbia siku nyingi ndiyo maana hakuna solution ya tatizo lolote lile. Angalia swala la madaktari. Je ni nini kilifanyika hapo isipokuwa vitisho, kutekwa na kuteswa kwa Dr. Ulimboka? Angalia mgogoro wa waalimu. Kilifanyika nini cha maana? Angalia vita na vurugu za waislamu nchini. Raisi Dahifu ameweza kufanya nini? Je mauwaji ya Mwangosi na wengine wengi tu ni nini kimefanyika licha ya kusema "ni upepo tu utapita?"
Katika historia ya Tanzania hajawahi kutokea raisi aliyeitwa hadharani kwa jina DHAIFU na akakubali kwa kushindwa kutatua angalao tatizo moja. Ukiona waislamu wanatoka kwa nguvu zote kuchomea wenzao makanisa na raisi anaishia kuwachekea tu jua alishakimbia nyumba siku nyingi. Kilichobaki hapa ni kivuli kinasubiri tu 2015!
 
Hili la kukimbia litafika kwa kuwa ukiongea na wazee wa vijiji vya nyaluhande, sayaka, sweya na vijiji jilani wilayani magu watakuambia utabiri ambao unamtabiri presda kukimbia nchi na kutokumaliza mda wake wa kutawala 2015. Utabiri huu ulitolewa na mzee mbusule miaka ya sabini na themanini kabla ya kufa kwake mwaka 1981. Mambo yameshaanza kuonyesha juu ya udhaifu uliokithili. Siamini sana lakini wazee ni wazee kwa kuwa mengi ya mambo aliyotabiri yametokea. Yetu macho wakuu.
 
Haya yanayoendelea sasa katika duru za siasa hapa Tanzania bara ni aibu kwa utawala wake kama rais wa Jamhuri ya Tanzania. Rushwa imeshamiri, serikali haikusanyi kodi ipasavyo, kila mtumishi wa umma anakusanya kwa nguvu zake zote kila raslimali iliyopaswa kutumika kwa umma.

Ukija kwenye nishati hasa umeme/stima utalia, kila siku ni takwimu za Megawati lakini hatujawahi kufurahia umeme mfululizo.
Madini huko ndio aibu aibu na fedheha kubwa.

Nimshauri Bwana Kikwete, mzaliwa wa Msoga, ikiwa anahisi nchi imemtumbukia nyongo asione haya kubwaga manyanga, kama hilo pia litamnyima usingizi, achimbe kama Balali kisha tutamtangaza kama walivyomtangaza Balali, na kwakua WaTanzania ni watu wanaoamini kila jambo kirahisi wataishia kusema Rest In Peace.

Ni ushauri wangu, kama umeshindwa Kimbia mzee.
Mkuu naona wewe umekimbilia Mwanza!!
 
Rais, makamu wake, wote washasepa long time ago....nchi saiz inaongozwa na Nape!
 
Chuki zao zipi? mbona unapenda ku generalise mambo! nyie watu wenye mawazo kama ya nterahamwe mkiachiwa na mawazo yenu mnaweza sababisha mauji ya halaiki.Ukisema watu wa Mbeya unamaanisha wooooote wanamwazo sawa? umefanya utafiti? au umekurupuka tu. chuki zao zipi hizo? wewe ndiyo unachuki nao!


Hakika safari bado ni ndefu na hii ni kwa sababu ya watu wanaofikili mambo kwa wepesi kuliko wepesi wenyewe. Miaka ya 1960's uchumi wa nchi kama korea kus/kas,India na China ulikuwa almost the same na Tanzania lkn sasa hatuwagus ata robo,inchi nilizotaja hazina na wala haziikaribii Tanzania kwa wingi wa rasilimali tulizonazo,SWALI:TATIZO NI NINI? Jibu ni jepesi UONGOZ wa watu wasio na nia ya kuifikisha hii nchi mahala ambapo karib kila mtu anaweza kujivunka u-Tanzania wake. SOLUTION ni kuwa na utamaduni wa kuwatoa wanaoharibu ukweli sisismu wameharibu,wanaharibu na wataendelea kuharibu,tuwatoe hawa hawatufai ata kidogo,tuwaweke wengine, tusifanye siasa kama ushabiki wa mpira tutakwama siasa ni zaidi ya ushabiki. Tuungand kuleta mabadiliko.
 
Wananchi tumempa ridhaa hadi 2015 October.

Subirini amalize muda wake akapumzike Msoga tuweke mwengine.
 
TUMESOMA,TUMEELEWA KIWANGO CHA upumbav wako KILIPOISHIA.
Haya yanayoendelea sasa katika duru za siasa hapa Tanzania bara ni aibu kwa utawala wake kama rais wa Jamhuri ya Tanzania. Rushwa imeshamiri, serikali haikusanyi kodi ipasavyo, kila mtumishi wa umma anakusanya kwa nguvu zake zote kila raslimali iliyopaswa kutumika kwa umma.

Ukija kwenye nishati hasa umeme/stima utalia, kila siku ni takwimu za Megawati lakini hatujawahi kufurahia umeme mfululizo.
Madini huko ndio aibu aibu na fedheha kubwa.

Nimshauri Bwana Kikwete, mzaliwa wa Msoga, ikiwa anahisi nchi imemtumbukia nyongo asione haya kubwaga manyanga, kama hilo pia litamnyima usingizi, achimbe kama Balali kisha tutamtangaza kama walivyomtangaza Balali, na kwakua WaTanzania ni watu wanaoamini kila jambo kirahisi wataishia kusema Rest In Peace.

Ni ushauri wangu, kama umeshindwa Kimbia mzee.
 
Ushirikina, nyie ndio mnauwa maalbino.
hili la kukimbia litafika kwa kuwa ukiongea na wazee wa vijiji vya nyaluhande, sayaka, sweya na vijiji jilani wilayani magu watakuambia utabiri ambao unamtabiri presda kukimbia nchi na kutokumaliza mda wake wa kutawala 2015. Utabiri huu ulitolewa na mzee mbusule miaka ya sabini na themanini kabla ya kufa kwake mwaka 1981. Mambo yameshaanza kuonyesha juu ya udhaifu uliokithili. Siamini sana lakini wazee ni wazee kwa kuwa mengi ya mambo aliyotabiri yametokea. Yetu macho wakuu.
 
Asije kuwa labda alishataka kukimbia ila kuna watu wamemzuia, si mnakumbuka pia kuna yule mkuu wa kaya aliefatia baada ya mchonga nae alitaka kukimbia nchi kisa mgomo wa UDSM mwaka 1989?
 
Eti bwana maendeleoooo?!
Nawashangaa sana wanosema Rais ni dhaifu....hivi kwa msukosuko huu wa kiuchumi, kisiasa, kijamii, kihadisi, kisayansi....taja yote yanayofanana na haya yanayoikumba nchi....lakini bado rais anaendelea kuongoza nchi, jamani hamuoni kuwa rais ni imara kweli kweli ?
 
Tume washauri mara nyungi wacheni kunywa viroba na kubugia unga


13577_561118857284980_1697209512_n.jpg
 
Back
Top Bottom