Ninavyoendelea kumdanganya huyu mrembo

Ninavyoendelea kumdanganya huyu mrembo

Social network era,mambo haya kwa sasa tuhadahithiana na kuona ya kawaiiida sana,ila si mambo ya kujisifia ni ya kujutia
 
kumbe hivyo,,,basi baadae kidogo ngoja nisepe kwanza
 
Lengo langu sio kujisifia.
Nahuznika tu na huyu jamaa mweny kumpenda hu mchpko wangu kwa dhai ambavyo anamjali na kumthmini lakini uu mchepuko roho yote iko kwangu.
Eventually ntamtosa tu aache kuiba waume za watu
 
Lengo langu sio kujisifia.
Nahuznika tu na huyu jamaa mweny kumpenda hu mchpko wangu kwa dhai ambavyo anamjali na kumthmini lakini uu mchepuko roho yote iko kwangu.
Eventually ntamtosa tu aache kuiba waume za watu

Mmh umejuaje kama mchepuko hampendi huyo mkaka? Haya iache hiyo michepuko tulia na mkeo
 
Atajijua......

Si kadanganyika na uongo wa nussery school

Ila nyie hamjui imeandikwa "ndoa na iheshimiwe na watu wote????" Heshima yako kwa ndoa yako iko wapi????
 
Endelea mkuu yaan hata mke wako aliniongopea kama wewe ila mkeo nampendaa Sana ananipa mzigo vemaa! Na juzi tuu katoa mimba yangu ye anavyodai! Endeleea huko na mm naendelea kwako

teh teh teh
kumbe ile mimba ni kweli aliitoa?..ila mtoto kakukubali balaa!

teh teh teh
 
Sasa iv unajiona mjanja.
Dhambi hiyo itakutafuna mpumbavu ww..
Angekua dada yako anafanyiwa iv

Matusi ya nini sasa? Kaleta story mumshauri hata hivyo huyo dada kuna faida anapata hapo ndomana habanduki. Nyie mnadhani anampenda jamaa kumbe labda kuna pesa hapo
 
Late thirties.. With a family?
Watoto wako wana hasara.
 
Hivi kweli kwa dunia ya sasa na wanawake wa sasa kuna aja ya kudanganya ata kama umeoa? mie naona wanawake wa sasa ata ukiwaambia ukweli kuwa umeoa and u just wana have fun atakuelewa tuu.
 
Mabibi na mabwana,

Ni matumaini yangu hamjambo. Kuna hii drama inaendeleakatika maisha yangu na leo hii nimefikiria sana na kuamua kuanika ukweli hapajamvini ili nisikie maoni yenu nap engine wengine mkajifunza.
Mimi ni kijana in my late thirties nimeoa kwa ndoa yakanisani na nimebahatika kupata watoto wawili na mke wangu. Tunaishi Sinza nafuraha.
Ninafanya kazi kwenye shirika moja la mafuta naalhamdulillahi maisha yangu sio mabaya. Mwaka jana nilikutana na kimwana mmojaambae ni mzuri sana na baada ya purukushani za miezi kadhaa akanasa kwenyemtego wangu.

Nilimweleza ukweli kuwa nimeoa na nina familia ila sinafuraha katika ndoa yangu. Pili nimeoa huyu mke kwaajili ya wazazi wangu sababuwalitaka nimwoe hivyo kwa kuwaridhisha ndio maana niko nae.
Bibie akaniamini na akaingia kingi. Nakula mzigo kamamchepuko kwa raha zangu.
Kinachoniuma maskini kuna njemba amejitokeza na anataka kumwoa huumchepuko na bibie hataki!!!

Najisikia vibaya sana kwa sababu jamaa anampenda huyumchepuko kwa dhati na mimi nampotezea muda wake tu na huku nina michepuke minginemitatu Zaidi yake.
Wapendwa nishaurini nifanyaje sababu napenda kuendelea kulataunda la huu mchepuko na wakati huo huo siwezi kumwacha mke wangu wa ndoa.
Najisikia guilty pia jamaa wa watu anavyohangaika kumtongozahuu mchepuko wangu na najisikia huruma sana.
Wananawake: ASIKUONGOPEE MTU.

LOVE OVERCOMES???

LOVE RISKS ANYTHING???..TUKIWAAMBIA TUMEOA KWWAJILI YAKUWAFURAHISHA WAZAZI TUNAWAONGOPEA MCHANA KWEUPEE. KAMA KWELI NINAMPENDA KWADHATI HUU MCHEPUKO BASI NINGEMWACHA MKE WANGU NA KUWA NA HUU MCHEPUKO. Wakatimwingine nimeanza kuamini kwa wanawake ni viumbe wa kudanganywa na kuchezewa.
Wenu,
Mzee wa michepuko

Huwa najiuliza hivi uwezo wa akili ya mwanadamu, hasa sisi waafrika, umepungua sana au ni nini? Maswala ya kawaida kabisa ya mtu kufanya maamuzi yanakimbiziwa hapa JF.
 
Back
Top Bottom