Ninavyo Mfahamu Janeth Magufuli

Ninavyo Mfahamu Janeth Magufuli

Alisema kwa kuonyesha ni jinsi gani hataki maisha ya juu, watoto wake wote walipitia shuleni hapo na mtoto wa mwisho alimaliza mwaka juzi na kufaulu Shule ya Sekondari ya Kata ya Oysterbay ambako anaendelea kusoma.
 
Kwa hiyo unapotuletea hadithi ya mke wa Makomeo ndy ili iweje? hii haitushawishi chochote kuichagua ccm
 
Hiyo shule daa!nifanye mishe nami nimpeleke wife huko naweza bahatisha upresidaaa.

wazo lako kama langu hiyo shule sijui inanini, marais wote wanatoka hapo. katika kila mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke nyuma yake Hongora mama Magufuli kwa kumfikisha hapo Mzee heshima kwako mama. Maana naona ikulu inanukia.
 
Kama wanafunzi wanamuelewa basi sivizuri atoke hapo,,tunataka aendelee na taaluma yake azalishe zaidi wanataaluma
 
alikua ana drive usafiri wa aina gani?
Hivi ameshajifunza english kozi?
Ila nampenda the way alivyo inaonekana hana uswahili km wa salma....

hivi mke wa raisi wa china na japan wanaongea english nzuri??? Vipi marais wa nchi za kiarabu??? Je maendeleo yapo au hamna???.....english inahusika nini na maendeleo tunayotaka...
 
hivi mke wa raisi wa china na japan wanaongea english nzuri??? Vipi marais wa nchi za kiarabu??? Je maendeleo yapo au hamna???.....english inahusika nini na maendeleo tunayotaka...

Nani kakwambia mke wa Magufuri ni muingereza?
 
Asante mwalimu mkuu
list ya viti maalum/ukuu wa wilaya
itazingatia itifaki.
 
Ahahahaaaaa, anaonekana tu hata kwa appearance. Chezea steam za Chemical maabara teh teh teh.

Mmezoe mijimama yenu ys kiswahili isiyojua hata nini heshima ya mwanamke wa kiafrika ..huyo ndo mwanamke harisi tunayemhitaji na si wenye sura za bandia
 
Nani kakwambia mke wa Magufuri ni muingereza?
Umenikumbusha miaka hiyo, PM wa wakati ule (R.I.P) Kawawa alienda ziara uingereza alipoulizwa ni kitu gani kimemfurahisha yeye akasema ameshangazwa sana na maendeleo yao yaani hata watoto wadogo wanaongea kiingereza! Tz labda wasomi tu ndo wanaweza kuongea kiingereza.
 
Mzalendo kweli kweli mpaka wanae wapo na watoto wetu shule za kawaida kabisa ..thanx Magufuri, you deserve it!

Tumekuelewa uongo wako tatizo sio hilo Tatizo ni Mfumo Fisiccm Hatuutaki kabisa, Nyoka fisiccm ametung'ata kwa miaka 55 sasa Tumeapa tunapambana kumwangamiza nyoka huyu Fisiccm

,,,,Tumechoka kuendelea kuwa mateka wa ccm.......
 
Hili tatizo la r na l linadhihirisha kwamba wachangiaji wengi wa jf ni wenyeji wa sehemu moja tu maana hakuna namna tena. Sasa matokeo ya tafiti mbali mbali yanayotolewa humu jf ni yakuyaangalia kwa macho meeengi tu.

Otherwise wise hongera mama magufuli maana umebeba nyota ya mumeo kwani kwa mwonekano wako tu na sifa hizo mwanaume hawezi kujuta kukuoa na lazima Mungu abariki tu. Big up. More over you are so cute.
 
Hili tatizo la r na l linadhihirisha kwamba wachangiaji wengi wa jf ni wenyeji wa sehemu moja tu maana hakuna namna tena. Sasa matokeo ya tafiti mbali mbali yanayotolewa humu jf ni yakuyaangalia kwa macho meeengi tu.

Otherwise wise hongera mama magufuli maana umebeba nyota ya mumeo kwani kwa mwonekano wako tu na sifa hizo mwanaume hawezi kujuta kukuoa na lazima Mungu abariki tu. Big up. More over you are so cute.

Umeonaeeh R&L tatizo kubwa hapa
 
Mwalimu Pombe Magufuli tunakuheshimu na kukupenda.UKAWA wakuache usonge mbele.tutakuinua sisi watanzania uwe first lady wetu.nasikia kikao kijacho cha first ladies wa EAC NA SADC ni November.ubarikiwe
 
Back
Top Bottom