G.Man
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 1,179
- 2,443
Yuko na muonekano mzur na wakistaarab, ila kwa mama Regina cjui atapitia wapi!! Alf pia itakuw ni kweli hana uhusiano mzur na mumewe na huenda sabab ya kutotaka kuitwa mke wa waziri ikawa ni hyo mbali na kutojikwez, hasinge kasirika ila angekuw amekataa tu