Ninavyo Mfahamu Janeth Magufuli

Ninavyo Mfahamu Janeth Magufuli

wewe ndugu yangu uko pessimistic, sijui kama unaelewa maana ya hilo neno. Unawaza mabaya tu. Huyu mama ni mfano wa kuigwa. Mume wake naye ni mtu mzuri na anyejali watu. Kwa kweli tumempata Rais mzuri sana ambaye anaweza kubadilisha maisha ya watanzania positively. Asante Mungu umejibu maombi.

Wewe mjinga hasa,mungu gani ajibu maombi ya kuirudisha ccm ikulu? labda mungu shetani na siyo Mungu huyu aliyeumba dunia.
 
Waasifu wake unatusaidia nini? au ni mgombea mwenza wa magu. Mwalimu wa shule ya Msingi sijui wa upe atakuwa na Vision gani kwa Tanzania ya leo? Leteni mada zenye Tija kwa mustakabali wa Taifa letu.
 
Kwa cv yake tumpe hongera yaake ni mama anayejitambuwa ila hii nafasi ya u first lady ni ya regina. Asubiri nafasi nyingine 2025 kama itawezeka who knows? Hii nafasi ni regina bana na mungu kashadhibitisha
 
Huyo Mke wa Magufuli anaonekana wazi wazi kuwa ana stress, ana mzigo mkubwa wa Stress nadhani ubabe wa mumewe, dharau na kitendo cha kuwa na vimada (weupe) ndio kina mnyima confidence na amani.
 
Nashangaa sana! WANASIKITIKA KUONDOKEWA? KWANI WAO WANA UHAKIKA UPI MUMEWE ATAKUWA RAISI?? HILO JAMBO NI LA KUANGALIA KWA JICHO LA PILI
 
Kwa cv yake tumpe hongera yaake ni mama anayejitambuwa ila hii nafasi ya u first lady ni ya regina. Asubiri nafasi nyingine 2025 kama itawezeka who knows? Hii nafasi ni regina bana na mungu kashadhibitisha
Kabisa mkuu, hata ule ushap wa kutumikia wanawake wenzake kama mke wa raisi ni ukweli mtupu kuwa regina anafaa zaidi
 
Mume wake magufuli anamdhalilisha kwa kutaka wazaramo wamtafutie wanawake. Anataka mwanamke alieenda unyago. Hii inampa stress sana huyu mama
 
Mlikuwa wapi kumsifia kabla ya uteuzi wa mgombea Mr Magufuli? acheni unafiki mtawapata baadhi ktk stail yenu hiyo watu jamii mm lazima nihoji, kwa nini leo ndio muanze kumueleza umahili wake? mlikuwa wpi? acheni unafiki.Jifunzeni kuanzia sasa msisubili mpaka mtu apate umaalufu fulani au afe ndio muanze kuwashushia sifa zake
 
Thanks kwa habari nzuri na nategemea itafunga midomo ambayo haijatairiwa.
 
Asante 1 lady wa tz mchapakazi nae tz ya magufuli itakuwa poa,asante mama kwa kutoa elimu kwa watanzania #hapa kazi tu
 
Tatizo mahaba,mtu anapenda na kujitoa ufahamu,anatafuta kasoro tu ili amchafue mtu,ni kama mchangiaji mmoja alivyoingia Chaka kubwa kwamba Wapo Radio Fm ni ya Wakatoliki ndiyo maana inatangaza masuala ya Magufuli kwa kina sana tofauti na mwakilishi wa UKAWA,kwa kweli ni shida,badala ya kuangalia mambo ya mustakabali wa nchi yetu huko tuendako,watu wanasema hata aje Iddi Amini watamchagua yeye tu ili alete mabadiliko tu,iwe kuua watu sawa,kula nyama zao sawa,kuwapoteza watakaompinga sawa,abebwe kwenye kiti toka Magogoni hadi uwanja wa Taifa huku akivuta mtemba sawa.Ama kweli tembea uone.
 
Mmezoe mijimama yenu ys kiswahili isiyojua hata nini heshima ya mwanamke wa kiafrika ..huyo ndo mwanamke harisi tunayemhitaji na si wenye sura za bandia

Ungelisoma kwanza quotation niliyoi-reply. Kwa kuwa umekurupuka (ambayo si sifa nzuri kwa wakongwe wa JF) basi nimekusamehe.
 
Back
Top Bottom