Kuna watu ni wabishi wa asili,,wamejaa negativity na wana akili za kipumbafu sana humu jf,,,
Kuna mwana saikolojia aliwahi niambia watu walio na negativity nyingi au ambao katika kila kitu kinachokua mbele yao wanaanza kufikiria negatives kwanza na wanajudge vitu from negative side huwa si watendaji na si wathubutu na wanaishia kua masikini au mafanikio yako makubwa ni kuwa middle income earners/middle class,,hiwa ni watu wa kuishia kulalamika,,,,jf wako wengi sana
Yani watu wamekaa kubisha bisha na kucriticise kila kilicho mbele yao,,mengine yaliyotajwa hapo juu kuyathibitisha ni ngumu,,je suala la watoto wake wote kupitia shule hiyo nalo mnalibishia?
Magufuri ni mbunge tangu 1995 na ni waziri wa wizara mbalimbali tangu enzi za mkapa,,watoto wake wote wamekua na probably wameanza shule wakati tayari yeye ni mbunge,,,,suala la watoto wake kusoma shule za serikali hasa primary wakati baba ni waziri ni moja kati ya viashiria vya uzalendo wa hali ya juu alionao mgombea huyu