Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,417
- 7,610
(ANGALIZO: NAONGELEA WACHESHI NA SIO MALAYA..ucheshi hauna uhusiano na tabia mbaya)
Habari za leo wana chit-chat wenzangu.
Awali ya yote niwape pole Watanganyika wenzangu...kwa yaliyotupata.
Tuachane na hayo tuendelee kujipooza na mengine.
Kama kichwa cha somo kinavyojieleza, mimi Benaya- ninavutiwa sana na wanawake micharuko yaani wacheshi na wenye mioyo wazi.
Sababu kuu ya kuwapenda hawa viumbe ni kwamba:
1. Hawana kisirani sawa na wakimya
2. Hawatunzi mabaya mioyoni mwao ukimkosea anakufungukia na mechi zinaendekea
3. Ikiwa mlikosana mkarekebisha yaani unapewa mechi tamu sio ya dunia hii huku akikwambia Benaya- my love usinikosee tena ee😅😅
4. Hawa viumbe wana uwezo wa kukufanya mwanaume mwenye furaha majira yote😘😘
5. Ukimpelekea moto vizuri yaani wanaipokea kwa mbwembwe na vifijo balaa.
Ukimkoleza akakolea utasikia lamasabakitani kakalakaka babaaa yaani fujo fujo tuuu😘😘😘🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wanawake micharuko mna mbingu yenu ninawapenda sana.
Cute Wife wewe ni mmoja wao lkn achana na vichaa😁😁
Habari za leo wana chit-chat wenzangu.
Awali ya yote niwape pole Watanganyika wenzangu...kwa yaliyotupata.
Tuachane na hayo tuendelee kujipooza na mengine.
Kama kichwa cha somo kinavyojieleza, mimi Benaya- ninavutiwa sana na wanawake micharuko yaani wacheshi na wenye mioyo wazi.
Sababu kuu ya kuwapenda hawa viumbe ni kwamba:
1. Hawana kisirani sawa na wakimya
2. Hawatunzi mabaya mioyoni mwao ukimkosea anakufungukia na mechi zinaendekea
3. Ikiwa mlikosana mkarekebisha yaani unapewa mechi tamu sio ya dunia hii huku akikwambia Benaya- my love usinikosee tena ee😅😅
4. Hawa viumbe wana uwezo wa kukufanya mwanaume mwenye furaha majira yote😘😘
5. Ukimpelekea moto vizuri yaani wanaipokea kwa mbwembwe na vifijo balaa.
Ukimkoleza akakolea utasikia lamasabakitani kakalakaka babaaa yaani fujo fujo tuuu😘😘😘🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wanawake micharuko mna mbingu yenu ninawapenda sana.
Cute Wife wewe ni mmoja wao lkn achana na vichaa😁😁