Car4Sale Ninauza gari yangu PASSO namba DPD

Kwa wale mnaodharau passo poleni sana. Ninayo yangu ni DRG nikitokea kwenye ingine ambayo ilikuwa DHF hizi gari nimezipenda sababu ulaji wwke wa mafuta.kwa wiki huwa natembea sio chini ya 700km na hii ni kila week.

Ningekuww na gari kubwa nisingetoboa. Huwa naweza kutembea nayo 1300km non stop kila baada ya miezi 3 ama 4 na haijawahi kunisumbua hata siku moja.

Hii ya mwisho nlinunua ikiwa na 30000km na sasa ina zaidi ya laki moja and bado ina hali nzuri sana kama hii yako. Still naezauza hata kwa 6miln
Hehee.. mil 6
Nimekaa palee
 
Hii usithubutu kufanya kwa vijana wa Tanzania, ukiwepo tu wanasumbua (Nina uzoefu mzuri kwenye hili) kwa hiyo kumuachia mtu gari bila uaimamizi wowote ni Sawa na kuamua kuitupa kabisa!

Nilifanya mwenyewe kwa hyo miezi mitatu, mwezi July nilipata 1,270,000/= mwezi August nimepata 1,407,000/= na September (mpaka jana) nimepata 1,075,000/=
Piga hesabu kaka
Commission
Mafuta
Service
Maintenance

Hiyo sio hela uliyopaya. Hiyo gross
 
Piga hesabu kaka
Commission
Mafuta
Service
Maintenance

Hiyo sio hela uliyopaya. Hiyo gross
Ni kweli, haiwezi kuwa kamili, lakini mafuta kwa haka kagari ni raha kwa kweli, kila km 1 inatumia sh.195, nimeitumia averagely sh.200,000/=
Commission ya bolt ilikuwa 194,000/=

So, Kuna ka 700,000 hapo kametulia hivi...
 
Dooh sema wabongo tuna dharau sana, yani maisha yetu wengi tunajijua ni ya kuungaunga na wengine hatumiliki hata baiskeli ila tuko humu tunaponda vya wengine, kazi kwelikweli
Ukweli lazima usemwe piston 3 hiyo ni toyo ilitochangamka
 
Watu wengi humu wanajikweza kuliko uwezo wao, kila mtu anajifanya kumiliki gari nzito nzito, VX, V8, BENZ VANGUARD N.K Lakini ktk uhalisia wengi wao wanagombania daladala mitaani.

Passo sio gari mbaya, kwa pilika za utafutaji mjini ni very perfect!
mkuu, tatizo nawe umejieleza mno. hadi kutia mashaka, kwa mfano mambo ya Denmark yalikuwa hayahusiki hata kidogo!


for sure
 
Hii usithubutu kufanya kwa vijana wa Tanzania, ukiwepo tu wanasumbua (Nina uzoefu mzuri kwenye hili) kwa hiyo kumuachia mtu gari bila uaimamizi wowote ni Sawa na kuamua kuitupa kabisa!

Nilifanya mwenyewe kwa hyo miezi mitatu, mwezi July nilipata 1,270,000/= mwezi August nimepata 1,407,000/= na September (mpaka jana) nimepata 1,075,000/=
Mkuu nilimaanisha mkataba wa kukuletea hesabu kwa kila wiki kiwango fulani mfano laki moja kila wiki kwa miaka miwili ni wiki 100 (100,000 x 100 = 10,000,000) baada ya hapo gari inakua yake mazima,, ndivyo nilivyomaanisha,, hapo lazima atailea kama yai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom