Si unaona memba hapo juu anasema Passo ni kama Toyo, kwa hiyo 5M kwa dhana ya huyo jamaa unapata V8 kabisaaaBy the way kumbe nkiwa na 5m naweza pata usafili mzuri tu
Hehee.. mil 6Kwa wale mnaodharau passo poleni sana. Ninayo yangu ni DRG nikitokea kwenye ingine ambayo ilikuwa DHF hizi gari nimezipenda sababu ulaji wwke wa mafuta.kwa wiki huwa natembea sio chini ya 700km na hii ni kila week.
Ningekuww na gari kubwa nisingetoboa. Huwa naweza kutembea nayo 1300km non stop kila baada ya miezi 3 ama 4 na haijawahi kunisumbua hata siku moja.
Hii ya mwisho nlinunua ikiwa na 30000km na sasa ina zaidi ya laki moja and bado ina hali nzuri sana kama hii yako. Still naezauza hata kwa 6miln
Piga hesabu kakaHii usithubutu kufanya kwa vijana wa Tanzania, ukiwepo tu wanasumbua (Nina uzoefu mzuri kwenye hili) kwa hiyo kumuachia mtu gari bila uaimamizi wowote ni Sawa na kuamua kuitupa kabisa!
Nilifanya mwenyewe kwa hyo miezi mitatu, mwezi July nilipata 1,270,000/= mwezi August nimepata 1,407,000/= na September (mpaka jana) nimepata 1,075,000/=
Dooh sema wabongo tuna dharau sana, yani maisha yetu wengi tunajijua ni ya kuungaunga na wengine hatumiliki hata baiskeli ila tuko humu tunaponda vya wengine, kazi kwelikweliPasso ni jamii ya TOYO
Ni kweli, haiwezi kuwa kamili, lakini mafuta kwa haka kagari ni raha kwa kweli, kila km 1 inatumia sh.195, nimeitumia averagely sh.200,000/=Piga hesabu kaka
Commission
Mafuta
Service
Maintenance
Hiyo sio hela uliyopaya. Hiyo gross
Ukweli lazima usemwe piston 3 hiyo ni toyo ilitochangamkaDooh sema wabongo tuna dharau sana, yani maisha yetu wengi tunajijua ni ya kuungaunga na wengine hatumiliki hata baiskeli ila tuko humu tunaponda vya wengine, kazi kwelikweli
Wewe hauendi kanisani na helcopter kweli?Ee Mungu sijui nani aninunulie ya kuendea kanisani
mkuu, tatizo nawe umejieleza mno. hadi kutia mashaka, kwa mfano mambo ya Denmark yalikuwa hayahusiki hata kidogo!Watu wengi humu wanajikweza kuliko uwezo wao, kila mtu anajifanya kumiliki gari nzito nzito, VX, V8, BENZ VANGUARD N.K Lakini ktk uhalisia wengi wao wanagombania daladala mitaani.
Passo sio gari mbaya, kwa pilika za utafutaji mjini ni very perfect!
Wadau wameona anatia chumv? Mana kwa paso bei hio mtihanmkuu, tatizo nawe umejieleza mno. hadi kutia mashaka, kwa mfano mambo ya Denmark yalikuwa hayahusiki hata kidogo!
for sure
Ahsante, gari imeuzwa nawashukuru sana kwa ushirikianoWadau wameona anatia chumv? Mana kwa paso bei hio mtihan
ok, Kila la heri boss, masomo mema.Ahsante, gari imeuzwa nawashukuru sana kwa ushirikiano
We ukisha soma alicho andika utajua tu huyo ni kula kulala kwa shemeji mume wa dada achana naeSio lazima u-comment mkuu, watu wengine mna roho za kishirikina ila hamjijui tu!
Mkuu nilimaanisha mkataba wa kukuletea hesabu kwa kila wiki kiwango fulani mfano laki moja kila wiki kwa miaka miwili ni wiki 100 (100,000 x 100 = 10,000,000) baada ya hapo gari inakua yake mazima,, ndivyo nilivyomaanisha,, hapo lazima atailea kama yaiHii usithubutu kufanya kwa vijana wa Tanzania, ukiwepo tu wanasumbua (Nina uzoefu mzuri kwenye hili) kwa hiyo kumuachia mtu gari bila uaimamizi wowote ni Sawa na kuamua kuitupa kabisa!
Nilifanya mwenyewe kwa hyo miezi mitatu, mwezi July nilipata 1,270,000/= mwezi August nimepata 1,407,000/= na September (mpaka jana) nimepata 1,075,000/=