Dada yetu kashaona mengiDuh..mamdenyi kumbe ni mhengaa....!!?? 2001 ndo uliachana na mme...! Na tayari ulikuwa na watoto 4,yaani km ulizaa kwa wastani wa miaka 2.9,ina maana umeolewa kati ya 1989 au 1990. Me wakati huo nasoma darasa la 4 au 5. Hakika we Dada yangu, lazima nikuchangie mhenga!!!!
Pole sana sister,sina kikubwa ila naomba inipe utaratbu wa kukuchagia hata hela ya maji ukiwa safari.Salaam sana wana MMU wote;
Nimekuja kwenu rasmi kuleta taarifa hii ya kuuguliwa na bwana ambaye nimezaa naye watoto wangu wote wanne.
Kweli tulifikia mahali kimaisha tukatengana tokea 2001. Kila mmoja akiwa na maisha yake huku nikiwa na changamoto kubwa na kali za kulea watoto ambao ilibidi nibaki nao, hayo kwa sasa tuyaweke pembeni.
Hadi ninavyoandika huu uzi hakuna mtoto hata mmoja ambaye ameshapata kibarua wote wapo kwenye kuhangaika kutafuta kazi.
Ilipofikia mwaka jana mwishoni nikapata taarifa ya kuwa yule bwana niliezaa naye anaumwa, nikajuwa ni homa za kawaida tu.
Leo kaka yake ndo ananipigia simu na kusema kuwa mdogo wake amezidiwa sana na alikuwa amezimia ila kazinduka tena juzi.
Kwangu hiki kitu ni kikubwa nimeshindwa kukibeba.
Kwenu wana jamii kwa upendo wenu ninaomba mnichangie nauli ili niweze kwenda huko Mbeya kumwona huyo mgonjwa. Kama mnavyojua mahali penye ugonjwa mkubwa pia panahitajika hela ya matumizi mengineyo.
Kwa wana jamii wa Mbeya mnaweza kwenda kumuuona nyumbani ni Sae.
Naomba tu msinitukane maana nitalia;
Pole sana sister,sina kikubwa ila naomba inipe utaratbu wa kukuchagia hata hela ya maji ukiwa safari.Salaam sana wana MMU wote;
Nimekuja kwenu rasmi kuleta taarifa hii ya kuuguliwa na bwana ambaye nimezaa naye watoto wangu wote wanne.
Kweli tulifikia mahali kimaisha tukatengana tokea 2001. Kila mmoja akiwa na maisha yake huku nikiwa na changamoto kubwa na kali za kulea watoto ambao ilibidi nibaki nao, hayo kwa sasa tuyaweke pembeni.
Hadi ninavyoandika huu uzi hakuna mtoto hata mmoja ambaye ameshapata kibarua wote wapo kwenye kuhangaika kutafuta kazi.
Ilipofikia mwaka jana mwishoni nikapata taarifa ya kuwa yule bwana niliezaa naye anaumwa, nikajuwa ni homa za kawaida tu.
Leo kaka yake ndo ananipigia simu na kusema kuwa mdogo wake amezidiwa sana na alikuwa amezimia ila kazinduka tena juzi.
Kwangu hiki kitu ni kikubwa nimeshindwa kukibeba.
Kwenu wana jamii kwa upendo wenu ninaomba mnichangie nauli ili niweze kwenda huko Mbeya kumwona huyo mgonjwa. Kama mnavyojua mahali penye ugonjwa mkubwa pia panahitajika hela ya matumizi mengineyo.
Kwa wana jamii wa Mbeya mnaweza kwenda kumuuona nyumbani ni Sae.
Naomba tu msinitukane maana nitalia;
Ni baba wa watoto wake mkuu.Mkuu huyo bwana si mmeachana?unajihangaisha naye wa nini?ntakutumia kiasi kidogo naahidi.Ila kama hukumfaa ukiwa mzima hata kama anaumwa huwezi kumfaa
Kuna wakati dunia huonekana kumgeuka mtu kiasi cha kumvua nguo, nashauri ujitie nguvu wala usiumizwe na kauli tata tunazotoa, binafsi ninaona umetuheshimu na kutupa nafasi ya pekee kushiriki tatizo lako kama ndg zako. Ninakushukuru kwa heshima hii Mamndenyi, pia nikutakie mafanikio katika hitaji lako.Asanteni kwa wote mlioguswa na ujumbe wangu huu;
Mungu awabariki tu jamani;
Kuna aliyeuliza kama nilishaingia mahusiano mengine, jibu ni hapana;
nilikuwa na changamoto kubwa ya kusomesha sikuweza tena kuanza mahusiano.
Yupo pia alieuliza why nimekosa nauli, hapa siwezi kusema sana ila kweli
hela ingekuwepo wala nisingekuja huku;
Naomba niweke tu namba yangu kwa ajili
ya hao wapendwa waliouliza huko juu 0755 557094.
Asanteni sana!
Inategemea nani alisababisha watengane. Kumjulia hali ni muhimu, kutengana sio kutakiana mabaya au kifo.Mkuu huyo bwana si mmeachana?unajihangaisha naye wa nini?ntakutumia kiasi kidogo naahidi.Ila kama hukumfaa ukiwa mzima hata kama anaumwa huwezi kumfaa
Kaweka no.ya simu hapo juu,Ungeweka hata number ya cm
Nimeguswa, ila ushauri tukikuchangia bora utume za matibabu akipona mpange taratibu mtembeleane.Asanteni kwa wote mlioguswa na ujumbe wangu huu;
Mungu awabariki tu jamani;
Kuna aliyeuliza kama nilishaingia mahusiano mengine, jibu ni hapana;
nilikuwa na changamoto kubwa ya kusomesha sikuweza tena kuanza mahusiano.
Yupo pia alieuliza why nimekosa nauli, hapa siwezi kusema sana ila kweli
hela ingekuwepo wala nisingekuja huku;
Naomba niweke tu namba yangu kwa ajili
ya hao wapendwa waliouliza huko juu 0755 557094.
Asanteni sana!
mama shimbonyi,aie mae. Mungu akutangulie mama na utafanikiwaAsanteni kwa wote mlioguswa na ujumbe wangu huu;
Mungu awabariki tu jamani;
Kuna aliyeuliza kama nilishaingia mahusiano mengine, jibu ni hapana;
nilikuwa na changamoto kubwa ya kusomesha sikuweza tena kuanza mahusiano.
Yupo pia alieuliza why nimekosa nauli, hapa siwezi kusema sana ila kweli
hela ingekuwepo wala nisingekuja huku;
Naomba niweke tu namba yangu kwa ajili
ya hao wapendwa waliouliza huko juu 0755 557094.
Asanteni sana!
Dada yetu kaomba msaada wa nauli halafu wewe unaanza kuleta ujuaji, kama huna mchango piga kimya mkuu...mtu mpaka kutuhusisha hapa maana yake kakabwa na uhitaji!17yrs huyo ex hajaoa mpaka sasa? Hana ndg wa kumuuguza? Huyo shemeji kwa nn asikupe nauli uende ukamuone kaka yake
Pole sana
Kaweka mkuu soma vizuriUngeweka hata number ya cm
Blessings!Pole mtani wangu, jioni nitakurushia ngoja nitoke kibaruani. Nimevaa viatu vyako, nimelewa, pole sana. Jioni nitarekebisha
amenBlessings!