Ninatafsiri aina zote za ndoto

Ninatafsiri aina zote za ndoto

Umefungwa kichawi.
Ile unamwambia mtu akufungulie maana yake unapaswa kuomba.
Kuna nuru mbele yako lakini yakupasa uombe sana au mtu mwenye nguvu za rohoni akufungue ili ufikie hatma yako
Mimi sinaga mambo hayo kushadadia uchawi,urozi,uganga kifupi naimani yangu ambayo namtegemea Mungu mweza yote Yehova
 
Kama kuna ndoto uliiota na ukakosa furaha kwa kutokujua maana yake itaje nitakuambia maana yake.

Hata kama hiyo ndoto umeisahau kwa Roho wa Mungu nitakukumbusha na kukutajia maana yake.

Hii ni kuonyesha tu kuwa Mungu yupo kila sehemu

Mungu anajua kila jambo

Mungu anaweza mambo yote.

Utukufu ni kwake Kristo Yesu.
Bwana anarudi.
KUna ndoto nimeiota mara 3,,kwa nyakati tofauti.
Niliona vitu visivyokuwa na uhai kwa mfano wa nguzo ya chuma ya umeme ikiwakimbiza binadamu kuwachapa kuwakamata na kuwakamua mpaka wanatoa vitu vyeupe.,,
NINI MAANA YAKE?
 
Mimi sinaga mambo hayo kushadadia uchawi,urozi,uganga kifupi naimani yangu ambayo namtegemea Mungu mweza yote Yehova
Sawa.
Kumtegemea Mungu sio kinga ya kutoka au kutokupatwa na mambo ya kichawi. Kila mtu duniani anamtegemea Mungu still wachawi wanakwamisha maisha yao.
Uchawi ni kufanya twist ya destiny ya mtu. Na uchawi hufanywa kwa njia nyingi.
Hata ndugu yako au wewe mwenyewe moyo wako ukiwaza mabaya juu ya ndugu yako huo ni uchawi.
Uchawi unaanzia kwenye wazo then hufuata kwa maneno.
Biblia hiyo ya habari za Yehova wametaja neno uchawi zaidi ya mara 20 lakini wewe unasema huamini kuwa upo.
Sawa ndugu, mark my word, kama hutadanyia kazi yale aliyokuonyesha Mungu ndotoni utapiga mark time miaka kwa miaka .
Ndoto ni dirisha la Kiroho Mungu hutumia kuwaambia watu kile kinachofanyika ulimwengu wa pili.
That's why nasemaga hakuna ndoto kutoka kwa shetani.
Ndoto zote ni maelekezo ya Kimungu ukiondoa ndoto za uchovu
 
Disaster is coming.
Njaa, moto, mafuriko n.k
Sasa Wewe uliteota utaangalia hivyo vitu vina mfanano gani na calamity husika.
In short vitu visivyo hai kudhuru watu ni disaster
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom