Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 4,189
- 3,548
Kama ilivyokuwa mwaka 1977 ambapo wajuaji walikuja na majigambo yao na kuubeza umoja wa Afrika Mashariki leo hii nauona huu wa sasa siyo ushirikiano wa Afrika Mashariki bali ndani yake viongozi hawa wamejaa mate ya hasira kwa Tanzania. Ushauri wa Kikwete kwa Kagame ilikuwa sababu tu lakini fukuto lilishakuwepo pale Tanzania ilipokataa ardhi isiwepo kama kitu halali kwa wanajumuuiya kurithi.
Naunga mkono sana ardhi yetu isiwe shamba la bibi kila mwana Afrika Mashariki akarithi nasema heko Jakaya Kikwete kwa kupinga hilo na hilo ndilo linalowauma sana. Sasa hivi wameanza kubuni mbinu za kupanga uzazi ili kuwe na limit za kuzaa kisa ni uhaba wa ardhi. Niafadhali Tanzania ijitoe katika muungano huu wa mashaka. Wakati Rwanda ikiomba kujiunga Jumuiya ya Afrika Mashariki wengi walitabiri kuwa huu utakuwa ni mwisho wa uwepo wa Jumuiya Halisi ya Afrika Mashariki, sasa nakubali.
Jana katika majarida inasemekana Kikwete alialikwa kuhudhuria mkutano wa wakuu kule Rwanda, hakika Mh. Kikwete alifanya jema kukataa kwenda. Mh. Rais bado tunakupenda sana. Jumuiya hii ya Afrika Mashariki iko ICU hatuna haja nayo, turudi zetu SADC. Yule kiongozi wa waasi M23 amerudi kwao Uganda kujipanga upya nasema karudi kwao kwasababu Uganda na Rwanda wanakifadhili kikundi hiki kuivuruga DRC ya Kabila.
Kama Museveni aliishi hapa Tanzania kule Bukoba na kupatia urais wake kwa msaada wa Tanzania laana itamkuta tu. Kama Kagame aliishi hapa Mtoni Kwa Aziz Ally na kutulia akupanga namna atakavyoitawala Rwanda hapo baadaye basi naye huyu hii laana ya kujitenga haitamuepuka.
Sisi Watanzania hatushangai kamwe kuona tabia hii ya ubaguzi inavyoshamiri kwani HAO WAMEZOEA KUBAGUANA. Hadi sasa wanajaribu kuwa wamoja lakini muziki huu hawatauweza roho zao zimeumbwa zikiwa na vyumba vya uhasama. Tanzania ni nchi ya mfano kwa umoja wake. We are BIG NATION MEEEEEN!!!
Kiburi cha Kagame + Usugu wa Museveni X Uwepo wa Uhuru = Hila, Hasira, Kutiliana Shaka, Viburi na Mwisho wake KUSAMBARATIKA. Muda si mrefu Uhuru Kenyatta ataota kiburi cha kujifanya ndiye mwezeshaji wa utengemao wa Jumuiya yao mpya. Baba yake Mzee Jomo Kenyatta aliiheshimu sana Tanzania.
Mh. Samwel Sitta ametoa tamko zuri sana kwamaba sisi siyo wakupewa talaka bali ni wa kutoa talaka kwa hao wanawali, Tanzania ilikuwa na wazo la kuunda umoja huu Kenyatta akalikubali akafuatia Milton Obote. Hivyo ni sisi tunatakiwa tutoe talaka kwamba hatuwataki.
TANZANIA IS A GREAT NATION FOREVER.
Naunga mkono sana ardhi yetu isiwe shamba la bibi kila mwana Afrika Mashariki akarithi nasema heko Jakaya Kikwete kwa kupinga hilo na hilo ndilo linalowauma sana. Sasa hivi wameanza kubuni mbinu za kupanga uzazi ili kuwe na limit za kuzaa kisa ni uhaba wa ardhi. Niafadhali Tanzania ijitoe katika muungano huu wa mashaka. Wakati Rwanda ikiomba kujiunga Jumuiya ya Afrika Mashariki wengi walitabiri kuwa huu utakuwa ni mwisho wa uwepo wa Jumuiya Halisi ya Afrika Mashariki, sasa nakubali.
Jana katika majarida inasemekana Kikwete alialikwa kuhudhuria mkutano wa wakuu kule Rwanda, hakika Mh. Kikwete alifanya jema kukataa kwenda. Mh. Rais bado tunakupenda sana. Jumuiya hii ya Afrika Mashariki iko ICU hatuna haja nayo, turudi zetu SADC. Yule kiongozi wa waasi M23 amerudi kwao Uganda kujipanga upya nasema karudi kwao kwasababu Uganda na Rwanda wanakifadhili kikundi hiki kuivuruga DRC ya Kabila.
Kama Museveni aliishi hapa Tanzania kule Bukoba na kupatia urais wake kwa msaada wa Tanzania laana itamkuta tu. Kama Kagame aliishi hapa Mtoni Kwa Aziz Ally na kutulia akupanga namna atakavyoitawala Rwanda hapo baadaye basi naye huyu hii laana ya kujitenga haitamuepuka.
Sisi Watanzania hatushangai kamwe kuona tabia hii ya ubaguzi inavyoshamiri kwani HAO WAMEZOEA KUBAGUANA. Hadi sasa wanajaribu kuwa wamoja lakini muziki huu hawatauweza roho zao zimeumbwa zikiwa na vyumba vya uhasama. Tanzania ni nchi ya mfano kwa umoja wake. We are BIG NATION MEEEEEN!!!
Kiburi cha Kagame + Usugu wa Museveni X Uwepo wa Uhuru = Hila, Hasira, Kutiliana Shaka, Viburi na Mwisho wake KUSAMBARATIKA. Muda si mrefu Uhuru Kenyatta ataota kiburi cha kujifanya ndiye mwezeshaji wa utengemao wa Jumuiya yao mpya. Baba yake Mzee Jomo Kenyatta aliiheshimu sana Tanzania.
Mh. Samwel Sitta ametoa tamko zuri sana kwamaba sisi siyo wakupewa talaka bali ni wa kutoa talaka kwa hao wanawali, Tanzania ilikuwa na wazo la kuunda umoja huu Kenyatta akalikubali akafuatia Milton Obote. Hivyo ni sisi tunatakiwa tutoe talaka kwamba hatuwataki.
TANZANIA IS A GREAT NATION FOREVER.