Ninaswali kwenu wanajamvi tusaidiane hapa.

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Jun 3, 2023
323
324
Nimevumilia tunavyonangwa wanaume sasa unyonge basi..Mwanaume akimwaga mbegu ndani ya dakika2 mnasemavanatatizo,je mwanaume unayemsuguwa ndani nje mara10tu ameshakojowa ndani ya dakika2 na anasema amechoka tusemeje?
 
Nimevumilia tunavyonangwa wanaume sasa unyonge basi..Mwanaume akimwaga mbegu ndani ya dakika2 mnasemavanatatizo,je mwanaume unayemsuguwa ndani nje mara10tu ameshakojowa ndani ya dakika2 na anasema amechoka tusemeje?
KInachoitwa upungufu wa nguvu za kiume kimsingi ni illusion tu imetengenezwa kwa mlengo wa kibiashara. Ukiwahi kumwaga una tatizo ukichelewa kumwaga una tatizo halafu hatuambiwi muda mahususi wa kumwaga ni upi?
 
KInachoitwa upungufu wa nguvu za kiume kimsingi ni illusion tu imetengenezwa kwa mlengo wa kibiashara. Ukiwahi kumwaga una tatizo ukichelewa kumwaga una tatizo halafu hatuambiwi muda mahususi wa kumwaga ni upi?
Bao la kwanza Ni kuanzia dakika 5 Hadi 15, chini ya hapo au zaidi ya hapo Ni tatizo la kiafya
 
Bao la kwanza Ni kuanzia dakika 5 Hadi 15, chini ya hapo au zaidi ya hapo Ni tatizo la kiafya
Huo muda upo naturaly au kwa kujicontrol? mfano mimi naweza kucheza na saikolojia yangu wakati wa tendo nikawahi ndani ya dakika 3 tu au nikajizuia mpaka dakika 30 bado sijamwaga hapa nahesabika nina tatizo?
 
KInachoitwa upungufu wa nguvu za kiume kimsingi ni illusion tu imetengenezwa kwa mlengo wa kibiashara. Ukiwahi kumwaga una tatizo ukichelewa kumwaga una tatizo halafu hatuambiwi muda mahususi wa kumwaga ni upi?
Eti wengine tena madokta wanasema walau dk25-40mi nawaona waongo tu kwanza wanachangia kuharibu ndoa za watu mana zamani wazee wetu hawakuwa na habari ya kujuwa muda sahihi ni dk ngapi na walidumu na ndoa.
 
Huo muda upo naturaly au kwa kujicontrol? mfano mimi naweza kucheza na saikolojia yangu wakati wa tendo nikawahi ndani ya dakika 3 tu au nikajizuia mpaka dakika 30 bado sijamwaga hapa nahesabika nina tatizo?
Wanatuzinguwa tu mwanamke akishafika kileleni hata ukimpiga nje ndani chache hana mwendo.Haya mambo yanachangia kuharibu saikolojia za watu.
 
Back
Top Bottom