Ninashangaa mwanaume kushindwa kumridhisha mkeo

Ninashangaa mwanaume kushindwa kumridhisha mkeo

[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji115] ushashindwa kumridhisha dada angu mwacheee ntamridhisha mwenyewe
mnayataka mambo kumbe hamyawezeiii[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Umeibuka.. Ha ha ha ha ha ha ha.
 
Hahahaha binamu hucheleweshi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji111]
Binamu ulipo nipo na nilikwambia ntakulinda juu ya majoka yote ya kibisa ikiwemo huyu bwana shemeji na leo kajidhihirisha wazi kazi hawezii[emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Back
Top Bottom