Ninashangaa mwanaume kushindwa kumridhisha mkeo

Ninashangaa mwanaume kushindwa kumridhisha mkeo

mzeewakungoa

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2016
Posts
4,969
Reaction score
13,920
Inakuwaje mwanaume mzima ukiwa na zana zote unashindwa kumridhisha mkeo. Wale Malesbian hawana 'vifaa' muhimu lakini bado wanawaridhisha wenzao sembuse wewe mwanaume mwenzangu? Mapenzi ni fani tujifunze kabla hatujaanza kuibiwa.

Nawasilisha.
 
Kuna mshkaji wng hajaoa alikuwa ananimbia kuna dem wake anampa feedback eti mshkaji hamridhishi then mshkaji akawa ananionyesha feedbacks za wanawake wengine wanavyo appreciate na kuhitaji show nyingine,,, HAYA MAMBO HAYAELEWEKAGI
 
Kuna mshkaji wng hajaoa alikuwa ananimbia kuna dem wake anampa feedback eti mshkaji hamridhishi then mshkaji akawa ananionyesha feedbacks za wanawake wengine wanavyo appreciate na kuhitaji show nyingine,,, HAYA MAMBO HAYAELEWEKAGI

Basi huyo mwingine alikuwa na mtera dam , unajua wa hivyo ngumu kuwaridhisha.
 
Kuna mshkaji wng hajaoa alikuwa ananimbia kuna dem wake anampa feedback eti mshkaji hamridhishi then mshkaji akawa ananionyesha feedbacks za wanawake wengine wanavyo appreciate na kuhitaji show nyingine,,, HAYA MAMBO HAYAELEWEKAGI
Ukiwa mchepukaji lazima utachanganyikiwa kwa sababu wanawake wako tofauti kuanzia maumbile yao ya siri mpaka kwenye sehemu zao za mwili ambazo ziko 'sensitive' zaidi to 'touch'.kwa hio inabidi uwe naye kwa muda kuweza kumstudy na kumjua vizuri. Ndio maana nimesema wake sio michepuko.
 
Back
Top Bottom